Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Featured Image

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.

Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo:

Ben:Β Muone yule mrembo amenirushia busu

Jose:Β tafadhali achana na huyo mwanamke, usimjali..

(baadae yule mwanamke akamuashiria aende)

Ben:Β yule mwanamke ameniita!

Jose:Β Rafiki yangu, usiende. Nakutafadhalisha.

Ben:Β Kwa nini unaniambia nisiende Wakati mrembo kama yule ananiita? Huo ni wivu

Jose:Β Ben, Ninakutafadhalisha tena, usiende, tafadhali usiende kuleΒ (akihisi kutotiliwa maanani)

(Rafiki yake alimpuuza na alienda kwa yule mwanamke, mwanamke alishuka kukutana naye na wakapanda juu. Ghafla wakiwa wanataka kuanza taratibu za kula uroda, wakasikia mlio WA gari getini).. πŸ”ŠπŸ”Š

Lady:Β _(akiangalia kupitia dirishani)_
Oooh! Yule ni mume wangu!!

Ben:Β Mama yangu !
Nipo matatani, kweli ? ..!!

Lady:Β Usiwe na khofu, jifanye kuwa Dobi na anza kupiga pasi hizo nguo

(akimuonyesha lundo la nguo)

(Ben alitumia masaa matano kukamilisha kunyoosha zile nguo kwa sababu yule mume hakutoka tena siku ile)

(Siku iliyofuatia Ben alikwenda kwa Rafiki yake)

Ben:Β Kaka, unaweza kuamini Jana nimepiga pasi nguo kwa masaa matano???

Jose:Β Lakini nilikwambia usiende. Nguo zote hizo ulizonyoosha,Β Nilizifua Mimi Juzi!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

When an experienced person speaks … πŸ‘‚you must listen..!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Edward Chepkoech (Guest) on March 4, 2022

😊🀣πŸ”₯

Stephen Mushi (Guest) on March 1, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on January 16, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Janet Sumari (Guest) on January 15, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Peter Mwambui (Guest) on January 2, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on December 25, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Nashon (Guest) on December 11, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Anthony Kariuki (Guest) on November 26, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Jane Muthoni (Guest) on November 5, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Chacha (Guest) on September 30, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on September 19, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on September 14, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Josephine Nduta (Guest) on September 6, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Habiba (Guest) on September 2, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Victor Mwalimu (Guest) on August 26, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Nancy Kawawa (Guest) on August 22, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on July 15, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Asha (Guest) on July 10, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Elizabeth Mrema (Guest) on July 5, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on July 1, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 27, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Andrew Mchome (Guest) on May 20, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on April 30, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Alex Nyamweya (Guest) on April 8, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on March 25, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Simon Kiprono (Guest) on March 15, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alice Jebet (Guest) on February 25, 2021

🀣πŸ”₯😊

Elizabeth Mtei (Guest) on February 20, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on February 11, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on February 8, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lydia Wanyama (Guest) on February 2, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on January 22, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Catherine Naliaka (Guest) on January 19, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mwanaidha (Guest) on January 2, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Josephine Nduta (Guest) on January 1, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Khamis (Guest) on November 9, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Lucy Wangui (Guest) on November 5, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Peter Mbise (Guest) on October 27, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Salum (Guest) on October 14, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Esther Cheruiyot (Guest) on October 11, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Christopher Oloo (Guest) on October 9, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Margaret Anyango (Guest) on September 20, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on September 10, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on September 8, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Elizabeth Malima (Guest) on August 13, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sharifa (Guest) on August 1, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Anna Kibwana (Guest) on July 16, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on July 13, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

George Ndungu (Guest) on June 13, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Kassim (Guest) on April 21, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on March 26, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on March 13, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Benjamin Kibicho (Guest) on February 16, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Abubakar (Guest) on February 13, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Ahmed (Guest) on February 8, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Robert Okello (Guest) on February 5, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Monica Nyalandu (Guest) on January 23, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 31, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Mustafa (Guest) on December 31, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mwanahawa (Guest) on December 10, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Related Posts

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More