Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Featured Image

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoja tu, muuzaji
akamtoa akamuweka kwenye
mzani, akaonekana ana kilo moja na robo.

Mdada akamuuliza
muuzaji,’Huna mkubwa zaidi?’ Muuzaji
akamchukua yule kuku na
kujifanya kamrudisha kwenye friji, halafu
akamtoa tena kwenye friji na
kumrudisha kwenye mzani, safari hii
akagandamiza mzani kwa gumba,
kuku akaonekana ana kilo mbili. Mdada
akasema β€˜Duh afadhali huyu
mkubwa kidogo,Β naomba unifungie
nawachukua wote wawili
’

Mamaaaaa muuzaji sijui atatoa wap kuku wa piliπŸ˜‚

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Hapo ndipo utagundua kwa nini MUWA co TUNDA 🚢🏽🚢🏽

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Mboje (Guest) on January 11, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Tabu (Guest) on December 29, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on December 27, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on December 6, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Wanjiku (Guest) on December 2, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on November 28, 2021

😊🀣πŸ”₯

Anna Mchome (Guest) on November 21, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on October 29, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Hawa (Guest) on October 19, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

James Kimani (Guest) on October 4, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on September 28, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on August 9, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mariam Kawawa (Guest) on August 7, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mary Njeri (Guest) on July 27, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on July 23, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Janet Wambura (Guest) on July 1, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Elizabeth Mrope (Guest) on June 21, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on May 12, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Joyce Nkya (Guest) on April 30, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Paul Ndomba (Guest) on April 23, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on April 23, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Latifa (Guest) on March 14, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

David Sokoine (Guest) on March 6, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on March 2, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on February 6, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Chris Okello (Guest) on February 2, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Richard Mulwa (Guest) on January 13, 2021

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Richard Mulwa (Guest) on January 9, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

David Kawawa (Guest) on December 21, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Khatib (Guest) on November 13, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 12, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

John Kamande (Guest) on November 11, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Minja (Guest) on September 26, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Robert Ndunguru (Guest) on September 25, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Zakaria (Guest) on September 16, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Grace Mushi (Guest) on September 10, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Malisa (Guest) on September 7, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Alex Nyamweya (Guest) on August 31, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Peter Mwambui (Guest) on July 31, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on June 3, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rahma (Guest) on May 16, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Alice Wanjiru (Guest) on May 16, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on April 24, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on April 14, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on April 8, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Alex Nakitare (Guest) on March 29, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Maida (Guest) on March 16, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Lydia Mahiga (Guest) on March 11, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on March 1, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Agnes Lowassa (Guest) on February 25, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Wande (Guest) on January 11, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Thomas Mtaki (Guest) on January 5, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on December 29, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on December 27, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on November 27, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Alice Mwikali (Guest) on November 20, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Frank Macha (Guest) on October 31, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on October 25, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Waithera (Guest) on October 8, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Related Posts

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More