Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Featured Image

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Smart phone), kukawa na jamaa kasimama pembeni yangu, ye hakupata seat. Sasa akawa anasoma message zangu bila aibu yani anafutilia ninavyochati…

Basi nikasema ngoja nimtie Adabu mshenzi huyu…. Nikacheck saa yangu yamkononi kisha nikatext:Β "Oya Ben Kwaheri bwana, zimebaki sekunde 30 tu hili bomuπŸ’£ lilipuke… najua hatutaonana tena, nitunzie Familia yangu, wambie nawapenda sana…"Β Yule jamaa akajirusha dirishaniβ€¦β€¦πŸ˜‚πŸ˜…

​kwani mi napenda ujinga xx πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Samson Tibaijuka (Guest) on March 12, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on February 27, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Malecela (Guest) on January 21, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Andrew Mahiga (Guest) on December 25, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on December 16, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Philip Nyaga (Guest) on November 15, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Anna Sumari (Guest) on October 20, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on September 23, 2021

🀣πŸ”₯😊

Rose Lowassa (Guest) on September 22, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Frank Macha (Guest) on September 8, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on August 29, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on August 28, 2021

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on August 21, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Mussa (Guest) on August 12, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on July 19, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Patrick Akech (Guest) on July 11, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on July 4, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on June 18, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on June 15, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Warda (Guest) on June 13, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Arifa (Guest) on June 13, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

David Ochieng (Guest) on May 30, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Stephen Malecela (Guest) on May 28, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Joseph Kitine (Guest) on April 21, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Anna Mchome (Guest) on March 21, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on March 19, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

David Chacha (Guest) on March 19, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on March 15, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

David Sokoine (Guest) on March 13, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Edwin Ndambuki (Guest) on March 2, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on February 17, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Wairimu (Guest) on February 8, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on February 3, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Kidata (Guest) on January 1, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on December 17, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Khalifa (Guest) on December 16, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Faith Kariuki (Guest) on November 19, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Malecela (Guest) on November 17, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on November 12, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on October 15, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Frank Sokoine (Guest) on September 24, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on September 18, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alice Mrema (Guest) on September 16, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Jamila (Guest) on August 20, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on August 7, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Edward Chepkoech (Guest) on July 19, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Kevin Maina (Guest) on June 19, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Kidata (Guest) on June 10, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Kheri (Guest) on June 4, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Lucy Mushi (Guest) on May 22, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sofia (Guest) on May 20, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Esther Nyambura (Guest) on May 19, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Catherine Naliaka (Guest) on April 21, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Kheri (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Fredrick Mutiso (Guest) on December 21, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on November 13, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Salima (Guest) on November 2, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Zuhura (Guest) on November 2, 2019

Asante Ackyshine

Moses Mwita (Guest) on October 18, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Related Posts

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More