Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.
Mwanaume mmoja alienda kukata miti kwa ajili ya mkaa, bahati mbaya panga likadondokea mtoni, akaanza kulia sana. Malaika akatokea na kumuuliza kwanini analia. Jamaa akajibu; "Panga langu limedondokea mtoni na ndilo ninalotegemea kuendeshea maisha yangu".
Malaika akazama mtoni na kuibika na panga la DHAHABU na kumuuliza, ndio hili?
Jamaa: Hapana.
Malaika akazama tena na kuibuka na panga la SHABA na kuuliza, ndio hili?
Jamaa: Hapana.
Malaika akazama tena mara hii akaibuka na panga la CHUMA na kuuliza ndio hili?
Jamaa: NDIYO.
Malaika akafurahishwa sana na uaminifu wake hivyo akampa mapanga yote matatu. Jamaa akafurahi sana.
Siku nyingine jamaa alikuwa anatembea na mkewe njiani ghafla mke akadondokea mtoni, jamaa akaanza kulia. Malaika akatokea na kumuuliza: Kwanini unalia?
Jamaa: Mke wangu kadondokea mtoni na nampenda sana.
Malaika akazama mtoni akaibuka na WEMA SEPETU na kuuliza; "huyu ndiye mkeo?"
Jamaa: NDIYO.
Malaika akakasirika sana na kumuuliza: kwa nini umenidanganya?
Jamaa: Nimesema ndiyo kwa sababu ningesema hapana ungezama tena na kuibuka na AUNT EZEKIEL na ningesema hapana tena ungezama na kuibuka na MKE wangu alafu ningesema ndiyo ungenipa wote watatu!
Sasa mimi maskini sina uwezo wa kuhudumia wote hao, ndio maana nikasema NDIYO kwa Wema Sepetu.
*FUNDISHO*
Wanaume huwa hatusemi uongo bila sababu na inakuwa sababu maalumu kwa faida ya wote.
WANAUME WOTE NI WAAMINIFU. Hii ndiyo kauli mbiu yetu.
ππππ
Janet Mwikali (Guest) on November 12, 2021
Napenda jinsi mnavyofikiria! π€π
Richard Mulwa (Guest) on November 7, 2021
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Salima (Guest) on October 10, 2021
π Hii imenigonga kweli!
Ruth Mtangi (Guest) on October 3, 2021
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Joyce Mussa (Guest) on October 2, 2021
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
George Tenga (Guest) on September 13, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Josephine Nduta (Guest) on September 4, 2021
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Betty Cheruiyot (Guest) on August 24, 2021
ππ
Ruth Mtangi (Guest) on August 24, 2021
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Samson Mahiga (Guest) on August 20, 2021
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π
Charles Wafula (Guest) on August 2, 2021
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Victor Kimario (Guest) on July 25, 2021
π€£ππ
Anna Malela (Guest) on July 24, 2021
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
David Chacha (Guest) on July 5, 2021
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
Faith Kariuki (Guest) on June 26, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
Patrick Mutua (Guest) on June 25, 2021
π ππ
Warda (Guest) on June 18, 2021
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Joyce Aoko (Guest) on June 15, 2021
Nimefurahia hii sana! ππ
Joseph Kitine (Guest) on June 9, 2021
Hii imenifurahisha sana! ππ
Samuel Were (Guest) on May 20, 2021
πππ€£
Maneno (Guest) on May 14, 2021
π Bado nacheka!
Janet Mwikali (Guest) on May 5, 2021
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Nancy Kawawa (Guest) on April 27, 2021
πππ€£
Mhina (Guest) on April 26, 2021
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Charles Mrope (Guest) on April 25, 2021
π Ninacheka sana sasa hivi!
Mwakisu (Guest) on April 13, 2021
π Nalia kwa kweli hapa!
Irene Akoth (Guest) on April 10, 2021
ππ€£ππ
Grace Mligo (Guest) on April 7, 2021
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Betty Kimaro (Guest) on March 21, 2021
π€£ Hiyo twist mwishoni, ingawa!
Francis Mtangi (Guest) on March 19, 2021
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Alice Mrema (Guest) on February 22, 2021
πππ π€£
Ruth Wanjiku (Guest) on February 3, 2021
π Bado ninacheka!
Lydia Mahiga (Guest) on January 11, 2021
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Jackson Makori (Guest) on December 26, 2020
π Siwezi kuacha kucheka!
Nora Kidata (Guest) on December 24, 2020
π€£ Sikutarajia hiyo!
Joseph Kitine (Guest) on December 19, 2020
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Betty Akinyi (Guest) on December 18, 2020
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
Halimah (Guest) on December 10, 2020
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Benjamin Masanja (Guest) on November 15, 2020
π πππ
Edward Chepkoech (Guest) on November 8, 2020
π Kichekesho kamili!
Stephen Kikwete (Guest) on October 26, 2020
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Monica Lissu (Guest) on October 23, 2020
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Charles Mboje (Guest) on August 2, 2020
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Sultan (Guest) on July 30, 2020
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Peter Mwambui (Guest) on July 26, 2020
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Joyce Aoko (Guest) on June 17, 2020
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Thomas Mtaki (Guest) on June 13, 2020
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
Stephen Kikwete (Guest) on May 31, 2020
π€£π€£ππ
Mary Njeri (Guest) on April 10, 2020
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 28, 2020
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Susan Wangari (Guest) on March 16, 2020
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Nyota (Guest) on February 17, 2020
π Siwezi kuacha kucheka!
Mary Kidata (Guest) on February 12, 2020
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
Elizabeth Mtei (Guest) on February 9, 2020
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Frank Sokoine (Guest) on February 1, 2020
ππππ
Sarah Achieng (Guest) on January 21, 2020
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Paul Ndomba (Guest) on January 1, 2020
π Nimeipenda kabisa hii!
Lydia Mutheu (Guest) on December 21, 2019
π Naihifadhi hii!
Margaret Mahiga (Guest) on December 19, 2019
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Mwanaidha (Guest) on December 15, 2019
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£