Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Featured Image

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no ngeni na kuamua kuipokea ndipo unakutana na Sauti ya msichana ya kuvutia lakin kabla hajasema shida yake anaamua kukata simu. Unashikwa na hamu ya kujua ni nani. Tamaa ya mchepuko inakujia ghafla na kuamua kuipiga ile no tena kwa mara nyingine inakuwa haipatikani.

Siku hiyo hiyo usiku ukiwa umelala chumba kimoja na mkeo meseji inaingia tena kwenye cm yako kwa ile namba iliyokupigia mchana ikikuomba umpigie kwa mida ule na kusisitiza kuwa ana hamu ya kukufahamu. kila ukimtumia meseji ya kumdanganya upo sehemu mbaya hasikii anakubipu mara nyingi. Uzalendo unakushinda, unamuangalia pembeni mkeo kalala fofofo kajifunika shuka hadi usoni. Unaamua kuondoka kwa kunyata mpaka sebuleni kwenda kuipiga Ile namba kwa lengo la Kumwambia kesho mkutane. Ile unafika sebuleni na kuanza kuipiga ile cm ndipo unakutana na sauti hii:-Β MUME WANGU ACHA MCHEPUKO, NILIKUWA NAKUPIMA TU RUDI TU CHUMBANI TULALEΒ πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ Hapo ndo utajua kwann bata hata ale kokoto anaharisha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Wanyama (Guest) on April 1, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Esther Nyambura (Guest) on March 31, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on March 23, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Jackson Makori (Guest) on January 10, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Edward Lowassa (Guest) on December 29, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Mrope (Guest) on December 24, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on December 23, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on December 21, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Kangethe (Guest) on December 4, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on November 20, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Zainab (Guest) on October 28, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Nasra (Guest) on October 23, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mazrui (Guest) on October 6, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Linda Karimi (Guest) on September 25, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Josephine Nduta (Guest) on August 31, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mary Kendi (Guest) on August 14, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Khadija (Guest) on June 3, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 18, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mboje (Guest) on April 16, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Mary Kidata (Guest) on April 16, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Martin Otieno (Guest) on February 22, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Kimotho (Guest) on February 7, 2021

🀣πŸ”₯😊

Nancy Kabura (Guest) on January 30, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

John Lissu (Guest) on January 19, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on January 9, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on December 19, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on November 5, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Shamim (Guest) on October 23, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

James Kimani (Guest) on October 21, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hassan (Guest) on October 20, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Michael Onyango (Guest) on October 17, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on October 13, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Mohamed (Guest) on October 12, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Victor Kimario (Guest) on August 27, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 4, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on June 27, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on June 18, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on June 11, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on June 2, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Wilson Ombati (Guest) on May 22, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on May 21, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Salma (Guest) on May 15, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Mahiga (Guest) on May 7, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on April 17, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Leila (Guest) on April 16, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Abubakar (Guest) on April 14, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

David Sokoine (Guest) on March 22, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on March 16, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

Lydia Mutheu (Guest) on February 23, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Amani (Guest) on January 7, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Anthony Kariuki (Guest) on January 3, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on December 16, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Elizabeth Mtei (Guest) on December 9, 2019

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on December 5, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on December 4, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Husna (Guest) on November 17, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Grace Wairimu (Guest) on November 11, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on October 29, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Josephine Nekesa (Guest) on October 27, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Raha (Guest) on September 24, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Related Posts

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More