Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Staili nyingine za michepuko ni shida

Featured Image

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si akakuta mchepuko wake,
MKE: Unataka nini we mpumbavu?

MUME: Nani huyo unamtukana?
MKE: Kuna mtu hapa anakichwa kama nenda urudi badae
MCHEPUKO:Nawewe pua kama poa
MKE:Miguu kama masaa mawili
MCHEPUKO:Masikio kama sichelewi
MKE: Ondoka hapa mjinga we. …… Akafunga mlango
MUME: mwambie ana macho kama sitoki leo ng'oo
SIPENDI UJINGA MM nikiwa na my love pr

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alex Nyamweya (Guest) on February 20, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

George Wanjala (Guest) on February 10, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on February 7, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on January 21, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Carol Nyakio (Guest) on December 22, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on December 20, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on December 11, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Sharon Kibiru (Guest) on November 27, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on November 18, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on November 15, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Wairimu (Guest) on October 7, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Janet Wambura (Guest) on September 26, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on September 18, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on September 6, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on September 5, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on August 10, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on August 8, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on July 17, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Mariam (Guest) on June 28, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Shamsa (Guest) on June 21, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Charles Mrope (Guest) on May 22, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Juma (Guest) on May 15, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Shukuru (Guest) on April 10, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Nancy Kabura (Guest) on April 9, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Grace Wairimu (Guest) on March 28, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Frank Macha (Guest) on March 13, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on January 21, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Mariam (Guest) on January 1, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Benjamin Kibicho (Guest) on December 31, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on December 22, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on November 14, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Abdullah (Guest) on October 24, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Daniel Obura (Guest) on October 22, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ann Awino (Guest) on September 22, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on September 13, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Sumaya (Guest) on September 9, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Lydia Mutheu (Guest) on September 3, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on June 17, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Issa (Guest) on June 11, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Jane Muthoni (Guest) on May 26, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on April 26, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Neema (Guest) on April 19, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Salima (Guest) on March 6, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mercy Atieno (Guest) on March 6, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on March 2, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on March 1, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on February 2, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Stephen Kangethe (Guest) on January 14, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on December 7, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Rose Kiwanga (Guest) on December 5, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

John Lissu (Guest) on November 28, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on November 26, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Paul Kamau (Guest) on November 24, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Josephine Nekesa (Guest) on November 2, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Hellen Nduta (Guest) on October 23, 2019

🀣πŸ”₯😊

Victor Kamau (Guest) on October 21, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Majid (Guest) on October 7, 2019

Asante Ackyshine

Patrick Akech (Guest) on September 16, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Josephine Nduta (Guest) on August 27, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More