Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Featured Image

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangalia nini kimemshitua, mwanamke hushituka halafu huzimia hivyo ataambiwa na mwanaume kilichomshituaπŸ˜‚πŸ˜‚
2. Kwenye kupenda; mwanaume huanza kutamani alafu hupenda, mwanamke huanza kupenda moja kwa moja bila kumjua vizuri huyo ampendaeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
3.Kwenye kusaidia; mwanaume hutoa msaada alafu uhuzunika, mwanamke huuzunika badae ndo anakumbuka km msaada unahitajikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
4.Kwenye maamuzi; mwanaume hufikiri ndipo hutenda, mwanamke hutenda halafu hufikiriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
5.Kwenye kudanganya; Mwanaume hudanganya ili kumlinda mwanamke, mwanamke hudanganya ili kumkomoa mwanaumeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
6.Kwenye ugomvi; wanaume hupigana halafu hueshimiana, wanawake hupiga mikelele alafu kila mmoja hurud kwake, kexho tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
7.Kwenye ndoa; mwanaume hutafuta maixha ndipo huoa, mwanamke huolewa ndipo atafute maishaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
8.Kwenye kukata tamaa; mwanaume hukata tamaa mapema ili jambo lisimsumbue, mwanamke hajui kukata tamaa hadi aumizweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
9.Kwenye kula;Mwanaume hushiba alafu huanza madoido, mwanamke huanza na madoido alafu badae hujilaumu hakushibaπŸ˜‚πŸ˜‚
10.Kwenye siri; Mwanaume hutunza siri hasa za aibu, mwanamke humueleza shoga yake badae hugombana nae baada ya kumrudia mwenyewe kwa siku 2 tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hizi ni baadhi tu ya sifa tofauti kati ya mwanaume na mwanamke….. VIVA GENTLEMENπŸ‘ŠπŸ½πŸ‘Š

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Salima (Guest) on December 3, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Charles Mboje (Guest) on November 1, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Selemani (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Joseph Kawawa (Guest) on October 18, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on October 16, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine (Guest) on August 16, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Rukia (Guest) on August 11, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Mutheu (Guest) on August 4, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Baraka (Guest) on July 28, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Sharon Kibiru (Guest) on July 15, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on July 1, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on June 30, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ruth Kibona (Guest) on June 29, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on June 15, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on June 14, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

David Sokoine (Guest) on May 31, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on April 30, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on April 27, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Jafari (Guest) on April 14, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Betty Cheruiyot (Guest) on March 18, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Mushi (Guest) on March 10, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on March 6, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on March 1, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on February 23, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Christopher Oloo (Guest) on February 13, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on February 4, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Grace Mligo (Guest) on January 21, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on January 13, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Nuru (Guest) on December 4, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Mwakisu (Guest) on November 16, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Elizabeth Malima (Guest) on October 22, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Charles Mrope (Guest) on October 14, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Peter Mugendi (Guest) on September 22, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on September 18, 2020

πŸ˜† Kali sana!

James Kimani (Guest) on September 7, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Nuru (Guest) on September 1, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Joseph Kawawa (Guest) on August 24, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Faith Kariuki (Guest) on August 19, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on July 2, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Moses Mwita (Guest) on June 17, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Robert Ndunguru (Guest) on June 8, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Catherine Mkumbo (Guest) on May 19, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on April 24, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Nancy Akumu (Guest) on April 7, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on April 4, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Mary Sokoine (Guest) on March 26, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on March 26, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on March 25, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on March 10, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Grace Njuguna (Guest) on February 5, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Peter Mwambui (Guest) on January 6, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Philip Nyaga (Guest) on December 12, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on December 3, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mary Njeri (Guest) on November 29, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on November 28, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on November 17, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mgeni (Guest) on November 3, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Francis Mrope (Guest) on November 1, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edith Cherotich (Guest) on September 17, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Hellen Nduta (Guest) on August 12, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Related Posts

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More