Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mjini shule. Soma hii

Featured Image

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi ya mara kumi (10) bila ya mafanikio!

Kila nikimpigia simu hajibu simu zangu, nikahamua kumwandikia message kwa WhatsApp…!

_Hello Mamu, Nakupigia simu sio kukudai pesa zangu, ila nataka kukwambia kuwa hapa Ubungo Plaza kuna wadada wawili walikuwa wanapigana kumgombea Mumeo (Baba Nang'oto). Ilikuwa vuta nikuvute na mumeo alikuwa kasimama tu anawaangalia akitabasamu. Baada ugomvi kwisha akaondoka na mmoja wao na kumwacha yule mwingine akitukana matusi kama ana akili nzuri._

β€”
_*Kisha nikaituma ile message*_

Baada ya dakika kama mbili hivi, akanipigia simu nami wala sikupokea simu yake… Akapiga tena na tena kama mara ishirini hivi wala sikupokea.

*Akatuma message akiniuliza…*

_Hao wanawake unawajuwa, …mume wangu na huyo mwanamke wameelekea wapi, wewe unawajuwa hao wanawake waliopigana, yaani hapa nimechanganyikiwa kwa kweli…!_

Nikaisoma message yake wala sikuijibu, nikamchunia kimyaaa…!

Akanipigia tena simu mara tano, sikupokea simu zake, kimyaaa…! Akaniandikia message nyingine….

*…Nakupigia jamani pokea simu basi nina pesa zako nataka nikupe… Naomba basi tukutane mjini unihadithie vizuri…!*

Nami nikamjibu…

_Nitumie hizo pesa kwenye Namba yangu ya Mpesa, ili nipitie sheli kujaza mafuta nije mjini kukupitia nikupeleke mahala walipo…!_

Baada ya dakika 2 message ikaingia, kuangalia balance yangu ya Mpesa, nikakuta kaingiza pesa zangu zote ninazo mdai…!

Nikazima simu nikajilalia zangu kimyaaa…. Kama sio mie!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Monica Lissu (Guest) on October 5, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Baridi (Guest) on October 3, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Tabitha Okumu (Guest) on September 24, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on September 13, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Ramadhan (Guest) on September 1, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Grace Njuguna (Guest) on August 27, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on August 2, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Leila (Guest) on July 9, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Edward Chepkoech (Guest) on May 26, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Husna (Guest) on May 24, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Alice Wanjiru (Guest) on May 20, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on May 16, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on May 12, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Patrick Akech (Guest) on May 7, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lucy Mushi (Guest) on April 4, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on March 24, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Agnes Njeri (Guest) on March 22, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Minja (Guest) on February 18, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Mazrui (Guest) on February 2, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

David Chacha (Guest) on January 27, 2021

Asante Ackyshine

David Sokoine (Guest) on January 20, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on January 16, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Njeri (Guest) on December 11, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on December 6, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Musyoka (Guest) on November 19, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Yusra (Guest) on November 7, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Leila (Guest) on October 25, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Martin Otieno (Guest) on October 17, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Stephen Kangethe (Guest) on October 10, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on September 25, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on September 10, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Henry Sokoine (Guest) on September 9, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on September 6, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on September 3, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on August 18, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on August 13, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Janet Mwikali (Guest) on July 30, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 29, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ali (Guest) on June 22, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Kheri (Guest) on June 14, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Esther Cheruiyot (Guest) on June 11, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on June 1, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Alice Mwikali (Guest) on May 24, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Lydia Wanyama (Guest) on May 21, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Samson Tibaijuka (Guest) on May 15, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Kimario (Guest) on May 12, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Frank Sokoine (Guest) on April 19, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Diana Mallya (Guest) on April 12, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on April 12, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on April 11, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on April 7, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on April 6, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on March 10, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on February 22, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on January 16, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Maimuna (Guest) on January 9, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on January 5, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Mbise (Guest) on December 11, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Nancy Akumu (Guest) on December 8, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More