Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Featured Image

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako…



2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?


3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.


4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:

WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake

WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform

WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi

WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!

WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja


5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"


6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa……!


7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"


8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi… Wamefunga duka?


9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Wanyama (Guest) on December 8, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Zakia (Guest) on December 7, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Monica Nyalandu (Guest) on December 4, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Ibrahim (Guest) on November 22, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nahida (Guest) on October 23, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Lucy Kimotho (Guest) on October 10, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Alex Nakitare (Guest) on September 19, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Rose Lowassa (Guest) on September 2, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on August 28, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

David Kawawa (Guest) on August 27, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Irene Makena (Guest) on August 26, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on June 7, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 4, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on May 30, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on May 25, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Alice Mwikali (Guest) on May 22, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Rukia (Guest) on May 14, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Richard Mulwa (Guest) on April 22, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Maimuna (Guest) on April 11, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Edwin Ndambuki (Guest) on April 9, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on March 8, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Monica Adhiambo (Guest) on March 7, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Nora Kidata (Guest) on February 12, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mwalimu (Guest) on January 21, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nancy Akumu (Guest) on January 13, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Rubea (Guest) on December 24, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 23, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Dorothy Nkya (Guest) on October 26, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Anna Kibwana (Guest) on September 22, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on September 16, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on September 10, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

David Ochieng (Guest) on July 17, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on July 16, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joseph Kitine (Guest) on July 14, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Stephen Kikwete (Guest) on July 12, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

George Mallya (Guest) on May 31, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Rose Lowassa (Guest) on May 20, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on February 24, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

David Chacha (Guest) on February 24, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Joyce Mussa (Guest) on February 24, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Catherine Naliaka (Guest) on December 28, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on December 14, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on October 29, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on October 24, 2019

😊🀣πŸ”₯

Josephine Nduta (Guest) on October 5, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on September 11, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on August 23, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on August 18, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

John Kamande (Guest) on August 7, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Umi (Guest) on August 3, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Henry Sokoine (Guest) on June 24, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on June 18, 2019

🀣πŸ”₯😊

Henry Mollel (Guest) on June 15, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Rukia (Guest) on May 24, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on May 22, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on May 21, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on April 15, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Neema (Guest) on April 13, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Grace Njuguna (Guest) on March 10, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Grace Majaliwa (Guest) on February 21, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Related Posts

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More