Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Featured Image

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?
Zuzu: Twende chumbani kwako (wakaenda)
Anna: Haya nionyeshe…

Zuzu: Funga mlango na madirisha kwanza (akafunga)
Anna: Haya nionyeshe sasa!..
Zuzu: Zima taa kwanza (akazima)
Anna: Mhm…nionyeshe sasa!
Zuzu: Haya njoo hapa kitandani…
Anna: Ok, nionyeshe!
Zuzu: Ona nimenunua saa ambayo inawaka yenyewe gizani… Acha mawazo mabaya ww???

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nyota (Guest) on November 9, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rose Waithera (Guest) on October 3, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Jane Muthui (Guest) on June 10, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Ann Awino (Guest) on June 5, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Paul Kamau (Guest) on May 28, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on May 22, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on May 2, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Joyce Nkya (Guest) on April 29, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Zubeida (Guest) on April 19, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 5, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on March 27, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on March 24, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

David Ochieng (Guest) on March 11, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on March 8, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on February 17, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Nuru (Guest) on February 17, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Zakaria (Guest) on February 3, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on January 31, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Joyce Aoko (Guest) on January 26, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 23, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Francis Mtangi (Guest) on January 15, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on January 10, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Jacob Kiplangat (Guest) on January 10, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Margaret Mahiga (Guest) on November 21, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Fredrick Mutiso (Guest) on November 11, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on October 3, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Shamsa (Guest) on September 30, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Maimuna (Guest) on September 23, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Samuel Were (Guest) on September 16, 2020

😊🀣πŸ”₯

Athumani (Guest) on September 14, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Lucy Kimotho (Guest) on September 13, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on September 5, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on August 31, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on August 13, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Amir (Guest) on August 5, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Jebet (Guest) on July 24, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Baridi (Guest) on July 20, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Anthony Kariuki (Guest) on July 16, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on July 7, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Josephine Nekesa (Guest) on July 5, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Hamida (Guest) on May 19, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Asha (Guest) on May 6, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Frank Macha (Guest) on May 3, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on March 8, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on March 2, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on January 9, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on December 24, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on December 19, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 7, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Nahida (Guest) on October 24, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Edward Lowassa (Guest) on September 20, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Amollo (Guest) on September 18, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Mwinyi (Guest) on September 16, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jane Muthoni (Guest) on September 12, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Neema (Guest) on August 23, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Frank Macha (Guest) on July 4, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Zakaria (Guest) on June 8, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Alice Wanjiru (Guest) on May 26, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on May 10, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Michael Mboya (Guest) on May 10, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More