Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Featured Image

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka morogoro kurudi dar haiwezekani
MAMA:- Mme wangu morogoro ulienda bila kuniaga! ?
BABA:- Ilikuwa ni ghafla sana mke wangu sikuweza kukwambia
MAMA:- kha! Sasa watoto nani atawaangalia
BABA:- Unasemaje! We uko wapi kwan
MAMA:- Niko bagamoyo na daraja limeondolewa na maji sitaweza kurudi.
BABA:- Unasemaje we mwanamke.. nakwambia nikukute nyumban ndani ya dk 15
Baada ya dk 15 Baba kafika nyumban.
MAMA:- Haya umefkaje kutoka morogoro?
BABA:- Nimepewa lift na helkopta ya Mbowe..

Kama umeipenda shea na rfiki zakooo…..

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mchawi (Guest) on July 15, 2024

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Victor Mwalimu (Guest) on July 1, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Rahim (Guest) on June 16, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Charles Mboje (Guest) on June 1, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Muslima (Guest) on May 27, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Anna Mchome (Guest) on May 5, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Agnes Lowassa (Guest) on April 21, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on April 3, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on March 13, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

James Kawawa (Guest) on March 4, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

John Lissu (Guest) on March 3, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on March 2, 2024

😊🀣πŸ”₯

Irene Akoth (Guest) on February 29, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on February 20, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Amani (Guest) on February 10, 2024

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Catherine Mkumbo (Guest) on February 9, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Patrick Akech (Guest) on January 21, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on January 13, 2024

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

David Nyerere (Guest) on January 8, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Victor Kamau (Guest) on December 16, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Zawadi (Guest) on November 29, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Kamau (Guest) on November 27, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on November 27, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Jacob Kiplangat (Guest) on October 17, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on September 9, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on September 7, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Michael Onyango (Guest) on August 23, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Azima (Guest) on August 18, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Sumaya (Guest) on August 4, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Stephen Mushi (Guest) on July 19, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on July 7, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Jafari (Guest) on June 27, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Stephen Kikwete (Guest) on June 17, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on May 30, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Catherine Naliaka (Guest) on April 22, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Zuhura (Guest) on April 1, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Ruth Wanjiku (Guest) on March 29, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Salma (Guest) on February 27, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Charles Mboje (Guest) on February 25, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Kibwana (Guest) on February 19, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Robert Ndunguru (Guest) on February 17, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mariam Hassan (Guest) on February 12, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Raphael Okoth (Guest) on February 10, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Irene Akoth (Guest) on February 4, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on January 28, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on January 26, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on January 25, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Muslima (Guest) on January 23, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Maimuna (Guest) on January 22, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Rose Mwinuka (Guest) on December 25, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Shamsa (Guest) on December 17, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Fatuma (Guest) on November 9, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mtumwa (Guest) on October 15, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Peter Mbise (Guest) on September 30, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Vincent Mwangangi (Guest) on September 28, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on September 20, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on September 16, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mary Kidata (Guest) on August 29, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Furaha (Guest) on August 28, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Catherine Mkumbo (Guest) on August 9, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Related Posts

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More