Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Featured Image

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakunywa bia ngapi!?





MLEVI; "Nakunywa bia tano!
MCHUNGAJI; "Bia moja bei gani!?
MLEVU; "2500/
MCHUNGAJI; "Ulianza lini kunywa bia!?
MLEVI; "Miaka 18 iliyopita!





MCHUNGAJI; "Kwa hiyo kwa siku unatumia zaidi ya 10,000??
MLEVI; "Ndio!
MCHUNGAJI; "Kama u gekuwa unatunza hiyo pesa 10,000 kwa siku leo hii si ungekuwa na Range Rover!?
MLEVI; "Samahani, naweza kukuuliza swali!?
MCHUNGAJI; "Uliza!
MLEVI; "Unakunywa bia!?
MCHUNGAJI; "Hapana!
MLEVI; "Nionyeshe Range Rover yako!
MCHUNGAJI; "akasepa"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Kiwanga (Guest) on July 24, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Rahim (Guest) on July 15, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 11, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nassar (Guest) on June 21, 2024

πŸ˜† Kali sana!

George Ndungu (Guest) on June 16, 2024

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Fadhili (Guest) on June 14, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Leila (Guest) on June 11, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Sharon Kibiru (Guest) on May 15, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Anthony Kariuki (Guest) on May 15, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on April 28, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 12, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on March 21, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on March 18, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on January 23, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lucy Kimotho (Guest) on January 17, 2024

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on January 15, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Achieng (Guest) on January 5, 2024

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nasra (Guest) on December 21, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Nora Lowassa (Guest) on December 13, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Rose Amukowa (Guest) on November 11, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on October 30, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on October 24, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Peter Tibaijuka (Guest) on October 14, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on October 13, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Shamim (Guest) on October 3, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mary Sokoine (Guest) on September 1, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on August 3, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Ann Awino (Guest) on August 2, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on July 15, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Mohamed (Guest) on July 11, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Rose Mwinuka (Guest) on May 19, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Shani (Guest) on May 15, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Omar (Guest) on May 5, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

David Sokoine (Guest) on April 11, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Joseph Kitine (Guest) on March 16, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on March 7, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on February 18, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mary Mrope (Guest) on February 6, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on January 3, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on December 20, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Jabir (Guest) on December 7, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Ruth Kibona (Guest) on December 2, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on December 1, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Agnes Njeri (Guest) on December 1, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Paul Kamau (Guest) on November 27, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

George Tenga (Guest) on November 8, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on October 19, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 24, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Charles Mrope (Guest) on September 16, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Ndomba (Guest) on August 3, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on June 1, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Mushi (Guest) on May 17, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Mary Sokoine (Guest) on April 13, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on March 30, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on February 27, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Chacha (Guest) on January 26, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mwanaidi (Guest) on January 17, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Stephen Mushi (Guest) on December 25, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Fredrick Mutiso (Guest) on December 18, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More