Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Jambo la muhimu zaidi Duniani

Featured Image

Hakuna kitu cha Muhimu zaidi Duniani kama kumjua Mungu na kumuishi Mungu. Kila binadamu ameumbwa kwa ajili hii. Na Mungu anachotaka ndicho hichi, kumjua na kumuishi. Mengine yote ni maziada. Ukimuishi Mungu atakufanikisha katika yote.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Grace Wairimu (Guest) on December 25, 2023

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Linda Karimi (Guest) on November 17, 2023

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Chris Okello (Guest) on September 21, 2023

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Alice Wanjiru (Guest) on July 29, 2023

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Janet Sumari (Guest) on May 30, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

George Tenga (Guest) on March 5, 2023

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Benjamin Masanja (Guest) on December 12, 2022

Dumu katika Bwana.

Diana Mallya (Guest) on July 29, 2022

Tumaini ni nanga ya roho

Diana Mallya (Guest) on April 12, 2022

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Violet Mumo (Guest) on March 5, 2022

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Alex Nakitare (Guest) on August 7, 2021

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Nancy Kawawa (Guest) on August 3, 2021

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Anna Kibwana (Guest) on July 11, 2021

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Mary Njeri (Guest) on June 27, 2021

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Grace Minja (Guest) on February 1, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Andrew Mahiga (Guest) on January 19, 2021

Mwamini katika mpango wake.

Janet Sumaye (Guest) on October 17, 2020

Mwamini Bwana; anajua njia

Anna Kibwana (Guest) on July 11, 2020

Nakuombea πŸ™

Elizabeth Mtei (Guest) on February 29, 2020

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Mary Mrope (Guest) on February 26, 2020

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Ruth Mtangi (Guest) on February 6, 2020

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Josephine Nduta (Guest) on January 6, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Victor Kamau (Guest) on December 26, 2019

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Janet Mwikali (Guest) on December 11, 2019

Baraka kwako na familia yako.

Jackson Makori (Guest) on November 10, 2019

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Charles Mboje (Guest) on November 5, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Mary Sokoine (Guest) on November 4, 2019

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Carol Nyakio (Guest) on October 7, 2019

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Rose Waithera (Guest) on September 27, 2019

Sifa kwa Bwana!

Ruth Mtangi (Guest) on August 23, 2019

Rehema hushinda hukumu

Victor Mwalimu (Guest) on May 5, 2019

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Henry Sokoine (Guest) on February 5, 2019

Mungu ni mwema, wakati wote!

Robert Okello (Guest) on August 28, 2018

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 28, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Janet Sumaye (Guest) on April 12, 2018

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Elijah Mutua (Guest) on December 15, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Charles Wafula (Guest) on August 26, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Victor Kamau (Guest) on June 29, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Frank Macha (Guest) on June 25, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

James Kimani (Guest) on March 11, 2017

Endelea kuwa na imani!

Bernard Oduor (Guest) on January 17, 2017

Neema na amani iwe nawe.

Lucy Mushi (Guest) on January 12, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Diana Mallya (Guest) on September 10, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Elizabeth Mrope (Guest) on August 26, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Thomas Mtaki (Guest) on July 9, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Wilson Ombati (Guest) on June 13, 2016

Rehema zake hudumu milele

Alex Nakitare (Guest) on March 29, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Raphael Okoth (Guest) on February 7, 2016

Mungu akubariki!

Anthony Kariuki (Guest) on August 27, 2015

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Victor Malima (Guest) on April 1, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Related Posts

Sala ni kuongea na Mungu

Sala ni kuongea na Mungu

Jifunze na jijengea tabia ya kumsikiliza Mungu rohoni mwako unaposali. Sala ni mazungumzo ya Mung... Read More

Njia ya Kumrudia Mungu

Njia ya Kumrudia Mungu

Njia pekee ya Kumrudia Mungu tunapoanguka dhambini ni Njia ya Toba ya kweli ikiambatana na kukiri... Read More

Namna Mungu anavyojibu Sala au Maombi

Namna Mungu anavyojibu Sala au Maombi

Mungu ni mwenye Hekima, anajibu Sala zetu kwa kutupa kile tunachohitaji na chenye kutufaa na Sio ... Read More

Kutubu na Kusamehewa dhambi

Kutubu na Kusamehewa dhambi

Usiogope wala usisite kutubu na kuomba msamaha kwa Mungu. Uwe na Amani na Matumaini katika Huruma... Read More

Maisha ya Kikristo ni sala

Maisha ya Kikristo ni sala

Hakuna Maisha ya Kikristo bila Kusali. Kama kuna Mkristo anaishi bila kusali huyo siyo Mkristo ba... Read More

Sala sio maneno tuu

Sala sio maneno tuu

Sala siyo maneno mazuri, bali sala ni NIA ya Upendo iliyobebwa na maneno mazuri. Tusali kwa kunui... Read More

Sala ni chimbuko la Fadhila

Sala ni chimbuko la Fadhila

Sala ndiyo chimbuko la fadhila. Kwa njia ya sala tunapata fadhila za Kimungu na Neema za Mungu. A... Read More

Kukosa hata mara moja inahesabika ni kukosea

Kukosa hata mara moja inahesabika ni kukosea

Kukosa hata mara moja inahesabika ni kukosea mbele ya Mungu. Kwa kuwa kwa Mungu hakuna kusema, 'K... Read More

Kutubu ni njia ya kumrudia Mungu

Kutubu ni njia ya kumrudia Mungu

Kutubu ndio njia pekee ya kumrudia Mungu. Toba ya kweli ndiyo iletayo maondoleo ya dhambi. Ukiond... Read More

Mkono wa Mungu

Mkono wa Mungu

Kila jambo lina Mkono wa Mungu juu yake hata kama limefanyika bila kupangwa au kukusudiwa. Mbele ... Read More

Mungu yupo kwa ajili yako

Mungu yupo kwa ajili yako

Usifadhaike moyoni pale unapokuwa katika matatizo au unapopitia changamoto katika maisha. Kumbuka... Read More

Toba, msamaha na Baraka

Toba, msamaha na Baraka

Inashangaza kwa sasa watu wengi hawapendi kuambiwa kuhusu kutubu dhambi zao bali wanataka waambiw... Read More