Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Featured Image

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana alikuwa akimtupia macho,so me nilikuwa na wepesi wa kuongea naye kirahisi coz nilikuwa kando yake,,, Sasa kama unavyojuwa wanaume kwa kujikosha Nikaimigine mtto ananiangalia so nikaamuwa kupiga fake phone
"Hello Mr. Supervisor,nitachalewa kidogo coz kuna mahali nitapitia, so nipelekee tu hyo Ferrari yangu nyumbani"

Nikaona mrembo ameniangalia kwa macho ya husda apo nkajua nimeuwa ndege kwa jiwe moja, nkaamua kujikosha mtt wa kiume , "niaje mrembo", akanikazia macho kisha akaniambia,
"Shika battery yako uliangusha ukitoa simu"

Icho kicheko watu walicheka hujawahi ona jooo adi ikabidi dereva aegeshe gari watu wacheke kwanza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikaona isiwe tabu nikashukia pale pale🚢🏿🚢🏿🚢🏿

Tujifunze kusema ukweli kwani uongo sio mzuri hata kwa Mungu… πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kawawa (Guest) on July 6, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on June 11, 2024

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mariam Hassan (Guest) on June 5, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on June 2, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on April 23, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mchuma (Guest) on April 22, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Tabitha Okumu (Guest) on April 19, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jacob Kiplangat (Guest) on March 31, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on March 19, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

George Wanjala (Guest) on March 4, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Saidi (Guest) on February 25, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Jamal (Guest) on January 23, 2024

😁 Hii ni dhahabu!

Peter Mwambui (Guest) on December 24, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on December 13, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on December 7, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Richard Mulwa (Guest) on November 5, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on October 5, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on September 26, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on August 19, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 15, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on July 19, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mary Kidata (Guest) on July 16, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Baraka (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nancy Kawawa (Guest) on June 16, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Jafari (Guest) on June 8, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Farida (Guest) on June 1, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Elijah Mutua (Guest) on May 26, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on May 16, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Umi (Guest) on May 9, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Susan Wangari (Guest) on May 4, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Agnes Njeri (Guest) on April 3, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Patrick Akech (Guest) on April 2, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Nancy Kawawa (Guest) on March 27, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

George Mallya (Guest) on March 19, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Brian Karanja (Guest) on March 14, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Edith Cherotich (Guest) on February 22, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on January 29, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Stephen Amollo (Guest) on January 18, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on December 29, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on December 12, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Raha (Guest) on December 6, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joyce Mussa (Guest) on November 30, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on November 11, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Alice Mwikali (Guest) on October 27, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Robert Okello (Guest) on October 21, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on October 19, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Anna Sumari (Guest) on October 18, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on October 15, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on October 13, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Lucy Kimotho (Guest) on September 27, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Francis Mtangi (Guest) on September 17, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Ann Awino (Guest) on August 2, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Michael Mboya (Guest) on July 10, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Francis Njeru (Guest) on July 8, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Victor Mwalimu (Guest) on July 8, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on July 5, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on June 27, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

John Malisa (Guest) on June 18, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Patrick Akech (Guest) on June 17, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Related Posts

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More