Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Featured Image

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma barua
Ikisema yan.mwanangu tumapata shida maana shamba halijalimwa na jatujii litalimwaje na msimu ndio huo nataman.ungekuwepo ningepata msaada wa kulimiwa hili shamba

Yule kijana alijibu tafadhal baba usilime hilo shamba maana pesa zote nilizo ibwa nimeficha.huko

Kwakuwa barua zote laxima zipite kwa mkuu wa gereza ndio xiende kwa muhusika kesho yake mzee alikuwa shamba lote limelimwaa na polisi

Akatuma ujumbe tena yule kijana
Nashukulu umepata msaada sasa nazan unaweza ukaendelea kupanda mazao shamban.kwetuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Daniel Moegi (User) on January 11, 2025

Hii nayo jamaniπŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on July 17, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on July 3, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on June 27, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Mtangi (Guest) on June 14, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Irene Makena (Guest) on May 6, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Karani (Guest) on May 2, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on April 30, 2024

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Moses Kipkemboi (Guest) on April 23, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on April 19, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Henry Sokoine (Guest) on March 18, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on March 7, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Hashim (Guest) on February 28, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on January 27, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on January 21, 2024

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on December 26, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Nkya (Guest) on December 22, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Mbise (Guest) on December 16, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on December 12, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Samson Mahiga (Guest) on December 10, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on November 28, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on November 23, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on November 11, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on November 2, 2023

🀣πŸ”₯😊

Victor Kimario (Guest) on October 13, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on October 4, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on September 24, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Hamida (Guest) on September 21, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Edith Cherotich (Guest) on September 11, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on August 31, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mwajuma (Guest) on August 28, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Khamis (Guest) on August 27, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

John Mushi (Guest) on August 17, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on July 22, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Raha (Guest) on July 20, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

John Mwangi (Guest) on June 16, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nassor (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Irene Makena (Guest) on May 18, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Edward Lowassa (Guest) on May 14, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on April 12, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Alex Nakitare (Guest) on April 8, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Kassim (Guest) on April 1, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on March 19, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

John Malisa (Guest) on March 5, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on February 23, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on February 12, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on February 10, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

David Ochieng (Guest) on December 19, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on December 16, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Grace Mushi (Guest) on December 13, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on November 25, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Moses Kipkemboi (Guest) on October 13, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on September 26, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

David Kawawa (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Mariam Kawawa (Guest) on August 29, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on August 21, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Nassar (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Agnes Njeri (Guest) on July 13, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Zakia (Guest) on July 4, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Related Posts

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More