Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Featured Image

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja kunitaarifu kuhusu kupotea kwa hela yangu, njiani akaokota elfu 1 ambayo kuna mtu alipoteza ndio akaamua kununua askrimu….kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamakeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

George Tenga (Guest) on July 19, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on July 17, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Tabitha Okumu (Guest) on July 11, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Sharifa (Guest) on June 7, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Elizabeth Mrope (Guest) on June 7, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mzee (Guest) on June 2, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Alice Wanjiru (Guest) on May 21, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mazrui (Guest) on May 14, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Patrick Mutua (Guest) on May 6, 2024

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Robert Okello (Guest) on April 28, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Khalifa (Guest) on April 13, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Sumaye (Guest) on April 1, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Carol Nyakio (Guest) on March 30, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Samson Tibaijuka (Guest) on March 22, 2024

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Mwalimu (Guest) on March 16, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Victor Malima (Guest) on February 28, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on February 21, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Stephen Malecela (Guest) on February 14, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on February 13, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on January 13, 2024

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on January 1, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa (Guest) on November 27, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 19, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

John Lissu (Guest) on October 21, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Miriam Mchome (Guest) on October 2, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Kamau (Guest) on September 10, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Joseph Njoroge (Guest) on August 5, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on July 30, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Joseph Mallya (Guest) on July 23, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on June 21, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on June 18, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Kenneth Murithi (Guest) on June 16, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nora Lowassa (Guest) on June 14, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Henry Mollel (Guest) on May 29, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on May 29, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Rabia (Guest) on May 11, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 28, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on March 28, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Salum (Guest) on March 21, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Zakia (Guest) on March 10, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Jackson Makori (Guest) on March 3, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Yusra (Guest) on February 16, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on February 9, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Frank Sokoine (Guest) on January 30, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Achieng (Guest) on January 20, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on January 1, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on December 22, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on December 19, 2022

🀣πŸ”₯😊

Edwin Ndambuki (Guest) on December 11, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on December 3, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samson Mahiga (Guest) on December 1, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Zawadi (Guest) on October 27, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Fredrick Mutiso (Guest) on October 19, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on October 9, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Omar (Guest) on August 17, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Kevin Maina (Guest) on July 2, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Mallya (Guest) on June 20, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on June 4, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on May 31, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Related Posts

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More