Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Featured Image

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no ngeni na kuamua kuipokea ndipo unakutana na Sauti ya msichana ya kuvutia lakin kabla hajasema shida yake anaamua kukata simu. Unashikwa na hamu ya kujua ni nani. Tamaa ya mchepuko inakujia ghafla na kuamua kuipiga ile no tena kwa mara nyingine inakuwa haipatikani.

Siku hiyo hiyo usiku ukiwa umelala chumba kimoja na mkeo meseji inaingia tena kwenye cm yako kwa ile namba iliyokupigia mchana ikikuomba umpigie kwa mida ule na kusisitiza kuwa ana hamu ya kukufahamu. kila ukimtumia meseji ya kumdanganya upo sehemu mbaya hasikii anakubipu mara nyingi. Uzalendo unakushinda, unamuangalia pembeni mkeo kalala fofofo kajifunika shuka hadi usoni. Unaamua kuondoka kwa kunyata mpaka sebuleni kwenda kuipiga Ile namba kwa lengo la Kumwambia kesho mkutane. Ile unafika sebuleni na kuanza kuipiga ile cm ndipo unakutana na sauti hii:-Β MUME WANGU ACHA MCHEPUKO, NILIKUWA NAKUPIMA TU RUDI TU CHUMBANI TULALEΒ πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ Hapo ndo utajua kwann bata hata ale kokoto anaharisha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Monica Adhiambo (Guest) on July 19, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Violet Mumo (Guest) on June 15, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Hekima (Guest) on May 19, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Esther Cheruiyot (Guest) on April 29, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on April 27, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Edward Lowassa (Guest) on April 23, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on April 7, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Nora Lowassa (Guest) on March 25, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Edith Cherotich (Guest) on March 21, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Alice Mwikali (Guest) on March 8, 2024

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 3, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Charles Wafula (Guest) on December 12, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

John Kamande (Guest) on December 2, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Ramadhan (Guest) on December 1, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on November 25, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on November 20, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on November 18, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on November 14, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on October 15, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on October 15, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Hawa (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mary Kidata (Guest) on September 18, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Nancy Kawawa (Guest) on September 17, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Paul Kamau (Guest) on August 17, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Monica Adhiambo (Guest) on July 25, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Saidi (Guest) on July 22, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Alice Mrema (Guest) on July 14, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Zubeida (Guest) on July 12, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Husna (Guest) on June 30, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Grace Minja (Guest) on June 14, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Anna Sumari (Guest) on June 1, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on May 30, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Alice Wanjiru (Guest) on May 25, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on April 25, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on April 19, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on March 31, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on February 27, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on February 18, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Sarah Karani (Guest) on February 17, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Moses Kipkemboi (Guest) on February 3, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on January 13, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ann Wambui (Guest) on January 3, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mariam Kawawa (Guest) on December 28, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

James Kawawa (Guest) on December 22, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on December 8, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nasra (Guest) on December 2, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on November 15, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Tambwe (Guest) on November 6, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Charles Mboje (Guest) on October 19, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Charles Wafula (Guest) on August 9, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on August 4, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on July 9, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on May 25, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Anna Mahiga (Guest) on May 24, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on May 10, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Nora Kidata (Guest) on May 6, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Edward Lowassa (Guest) on April 16, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Nancy Komba (Guest) on April 11, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mary Njeri (Guest) on April 5, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Anna Sumari (Guest) on April 3, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More