Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Featured Image

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kwenye Gari amevaa suti za blue za daladala na miwani Kisha akakusanya pesa Gari Zima alafu akakaa siti ya nyuma baade Kondakta mwingine akaanza kukusanya pesa watu wakalalamika na kusema tayari tumelipa na kumuonyesha tuliemlipa Kondakta akacheka na kusema huyo tuliemlipa ni kipofu na alikuwa anaomba msaada..!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mary Njeri (Guest) on July 5, 2024

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Brian Karanja (Guest) on June 11, 2024

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Michael Mboya (Guest) on June 5, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on May 17, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on April 26, 2024

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joy Wacera (Guest) on March 13, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 29, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Sarah Achieng (Guest) on February 27, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Rose Waithera (Guest) on February 17, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Ndoto (Guest) on February 1, 2024

🀣 Hii imewaka moto!

Janet Wambura (Guest) on January 25, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Charles Mrope (Guest) on January 17, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Makame (Guest) on January 10, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Patrick Kidata (Guest) on January 5, 2024

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mustafa (Guest) on January 2, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Salima (Guest) on December 30, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mwanahawa (Guest) on December 5, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Agnes Lowassa (Guest) on November 16, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on November 16, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on November 1, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Peter Tibaijuka (Guest) on October 31, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Stephen Kikwete (Guest) on October 14, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Betty Akinyi (Guest) on September 6, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Lucy Wangui (Guest) on September 4, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Samson Tibaijuka (Guest) on September 1, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Brian Karanja (Guest) on August 14, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kiza (Guest) on July 28, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mwanaidi (Guest) on July 18, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Sekela (Guest) on July 6, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Edward Lowassa (Guest) on June 30, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Chris Okello (Guest) on June 24, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

David Musyoka (Guest) on June 17, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

James Kimani (Guest) on June 9, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 18, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mary Sokoine (Guest) on May 4, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Monica Nyalandu (Guest) on April 25, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Nashon (Guest) on April 9, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mariam Kawawa (Guest) on March 29, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on March 22, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on March 12, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

James Kimani (Guest) on March 6, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Daudi (Guest) on March 3, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Mary Sokoine (Guest) on March 3, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Yusuf (Guest) on January 19, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Nancy Akumu (Guest) on January 14, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

David Nyerere (Guest) on January 7, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on December 23, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Baraka (Guest) on December 17, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Janet Sumaye (Guest) on December 14, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Peter Otieno (Guest) on December 14, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

John Lissu (Guest) on December 8, 2022

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Rose Waithera (Guest) on November 22, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on November 17, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on November 9, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Latifa (Guest) on October 30, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

John Lissu (Guest) on September 21, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

George Mallya (Guest) on September 8, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on September 6, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Hellen Nduta (Guest) on September 4, 2022

😊🀣πŸ”₯

Andrew Mchome (Guest) on September 3, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More