Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Featured Image

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule dada akasimama akashangaaa kanisa zima linamtizima kwa mshangao akiwemo mumewe, akaangalia kanisa zima akashtuka kujiona yeye peke yake ndiye aliesimama
Pastor akaendelea vizur endelea kusimama, tumepata mmoja hadi sasa aliyesimama narudia kwa mara ya mwisho kama hujasikia vizuri
" kama wew umewahi kumsaliti au bado unasaliti ndoa yako SIMAMA"
Binti akazimia

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mary Kidata (Guest) on July 21, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Margaret Mahiga (Guest) on July 9, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Agnes Njeri (Guest) on July 5, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on July 4, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Amina (Guest) on July 2, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Hamida (Guest) on July 1, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Alice Mrema (Guest) on June 20, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on June 15, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Zakia (Guest) on May 18, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Elizabeth Malima (Guest) on May 15, 2024

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on May 15, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on May 10, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Asha (Guest) on May 8, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Lucy Wangui (Guest) on April 14, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on April 10, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 28, 2024

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on March 7, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on December 29, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on December 3, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on November 4, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on September 26, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Kamande (Guest) on September 15, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Salma (Guest) on August 28, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 30, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mwajuma (Guest) on June 5, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Stephen Kikwete (Guest) on June 3, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on May 12, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on April 2, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Mercy Atieno (Guest) on March 21, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Moses Mwita (Guest) on February 11, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on January 28, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Samuel Were (Guest) on January 8, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Anna Kibwana (Guest) on November 21, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Frank Macha (Guest) on November 11, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on November 9, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Asha (Guest) on November 2, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Chiku (Guest) on October 21, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Selemani (Guest) on October 21, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on October 11, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Omar (Guest) on October 7, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on September 30, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Nancy Komba (Guest) on September 26, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on September 23, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nuru (Guest) on September 18, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Francis Njeru (Guest) on June 29, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on April 23, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on April 21, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on April 19, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on January 31, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

James Kawawa (Guest) on January 10, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on January 1, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Philip Nyaga (Guest) on December 12, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lydia Mahiga (Guest) on December 7, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Juma (Guest) on December 4, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Simon Kiprono (Guest) on November 29, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

John Mwangi (Guest) on November 28, 2021

Asante Ackyshine

Makame (Guest) on October 30, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Grace Njuguna (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 3, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Fatuma (Guest) on September 26, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Related Posts

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More