Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Featured Image

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
2. Playboy/playgirl. Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.
3. Group ya marafiki watatu. Kila mara wako pamoja.
4. Mtu mwenye maswali ya kuudhi/kukera.
5. Msongolist kimeo. Huyu huwa anasoma sana bt hana bahati ya kufanya vizuri. Yani msuli tembo, bt matokeo sisimizi.

6. Mlafi. Huyu huwa hakatai offer.
7. Mtoro wa kudumu. Haji darasani hata km hana sababu.
8. Mchelewaji wa kudumu. Anakuja kipindi kiko katikati au kinakaribia kuisha.
9. Miss/Mr.Misifa. kila mara ataeleza the way nyumbani kwao walivyo matajiri.
10. Less talkative bt kiwembe. Jamaa mkimya bt unakuta ametembea na karibu wasichana 15 hapo class.
11. Handsome boy ambaye hana mpango na wanawake.
12.Chips addicted. Hawa wanaweza kula chips asubuhi mchana na jioni. Jumatatu hadi jumatatu.
13. Back benchers. Hawa huwa watundu sana na ni watu wa jokes. Huwa hawajibu swali, but wanasubiri wakati wa kushangilia waongeze bezi.
14. Wambea. Hawapitwi na kitu darasani na washazoea kufeli.
15. Mchungaji/Mtumishi wa Mungu,
16. Waimbaji/Wasanii,
17.Walevi
18.Mabishoo.
19. Team popo. Hawa wewe na hela wasiwe na hela wanakesha club,
20.Mwenye aibu kusimama mbele za watu. Wakati wa Presentation anakimbilia kusimama nyuma ya wenzie,
21. Viherehere. Hawa mara nyingi hutokea kupendwa sana na waalimu.
22. Wanaosoma ili kushindana kwny GPA.
23. Kupe. Huyu boom likitoka atawaganda wenzie hadi ziishe, halafu yeye anaanza kula zake alone.
24. Wise man/woman. Huyu huwa ni mtu anayeaminika na kila mtu darasani. Hutumika sn kushauri pale mambo yanapoenda mrama. Mara nyingi huwa ni mtu mzima.
25.mpenda supu" yeye hata ya nyani atakunywa tu.
26.Fix man. Huyu atakuomba jero, akafuatilie dili la milioni kumi town, kumbe hana hela ya chai.
27. Photocopy machine. Huyu ukimuonesha majibu kwny mtihani anaweza kucopy hadi jina lako.
πŸ’₯Usposema wewe uko namba ngapi mwngine atakusemaπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Lissu (Guest) on May 30, 2024

🀣πŸ”₯😊

Rukia (Guest) on May 26, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Peter Mugendi (Guest) on April 22, 2024

😊🀣πŸ”₯

Samuel Were (Guest) on April 20, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on March 31, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on March 22, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on March 12, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on February 24, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on February 19, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Francis Mrope (Guest) on January 28, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on December 31, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Janet Sumari (Guest) on November 26, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on November 16, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Ndoto (Guest) on November 6, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Violet Mumo (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on October 30, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ahmed (Guest) on October 16, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on October 3, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on October 3, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 23, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Michael Mboya (Guest) on July 6, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Adhiambo (Guest) on June 19, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Stephen Mushi (Guest) on June 14, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Sarah Achieng (Guest) on June 14, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hekima (Guest) on June 2, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Monica Lissu (Guest) on May 21, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Sumaya (Guest) on May 16, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Saidi (Guest) on May 1, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mwanahawa (Guest) on May 1, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mwalimu (Guest) on April 29, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Mallya (Guest) on April 28, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on April 17, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on April 13, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

George Ndungu (Guest) on April 5, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Safiya (Guest) on April 2, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Jackson Makori (Guest) on March 26, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on March 21, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Joseph Kiwanga (Guest) on March 17, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on February 18, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on January 24, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on January 17, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mariam Kawawa (Guest) on December 23, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on November 27, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Samson Mahiga (Guest) on October 7, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Frank Sokoine (Guest) on October 7, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on October 6, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on September 14, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Shamsa (Guest) on September 11, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Fadhila (Guest) on September 6, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on August 17, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on August 9, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Catherine Mkumbo (Guest) on July 28, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Kenneth Murithi (Guest) on July 26, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mashaka (Guest) on June 4, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Daniel Obura (Guest) on May 22, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Joyce Nkya (Guest) on May 5, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on April 28, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on April 27, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 16, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Henry Mollel (Guest) on April 6, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More