Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje?
BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu
GIRL: Enhee…
BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako
GIRL: Ooh baby u care..
BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range Rover Sport na mama mkwe ntampa Range Rover Evoque
GIRL: Baby u are awesome…
BOY: Halagu mdogo wako wa kiume ntampa Prado Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kula….
GIRL: Enhee…na sisi??

BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila wiki tutaishi nyumba tofauti
Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi Maldives
GIRL: Baby I love you
BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon Bahamas….halafu tunaenda Taiwan shopping ya fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani
GIRL: Ooh my sweetheart…halafu tukitoka huko??
BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako imeishia hapo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lucy Wangui (Guest) on July 22, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lydia Mahiga (Guest) on June 8, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on May 17, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on April 28, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on April 13, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Frank Sokoine (Guest) on April 3, 2024

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on March 31, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

James Malima (Guest) on March 21, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Faith Kariuki (Guest) on March 17, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Samuel Were (Guest) on February 21, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on February 15, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Joseph Kiwanga (Guest) on February 12, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nancy Kabura (Guest) on February 1, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwanaidi (Guest) on January 28, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Sarafina (Guest) on January 17, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

James Malima (Guest) on December 6, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on November 27, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on October 13, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on September 1, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on August 11, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mustafa (Guest) on August 7, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Carol Nyakio (Guest) on July 23, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mchome (Guest) on July 18, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Zakaria (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nora Kidata (Guest) on June 30, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on June 29, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Abdillah (Guest) on May 25, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Kimario (Guest) on May 14, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on April 24, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on March 26, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Mrope (Guest) on March 5, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on February 28, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Majid (Guest) on February 22, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Janet Mwikali (Guest) on February 16, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ann Awino (Guest) on January 8, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on December 27, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

James Mduma (Guest) on December 27, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

John Lissu (Guest) on December 27, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Andrew Mchome (Guest) on December 9, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on December 7, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Binti (Guest) on November 25, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Dorothy Nkya (Guest) on November 19, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on October 24, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Anna Malela (Guest) on October 20, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on October 10, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Catherine Naliaka (Guest) on October 7, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Faiza (Guest) on September 20, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Amani (Guest) on September 19, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Anthony Kariuki (Guest) on September 3, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on August 20, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

David Musyoka (Guest) on August 10, 2022

😊🀣πŸ”₯

Peter Mbise (Guest) on June 17, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on June 5, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Nashon (Guest) on May 23, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Patrick Kidata (Guest) on May 11, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on April 6, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on March 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Maimuna (Guest) on January 24, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Victor Malima (Guest) on January 16, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Warda (Guest) on January 10, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More