Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Featured Image

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..


Kwa wanywaji wazuri wa bia,

chupa ya kwanza 🍺 huwa haileti hisia yoyote. Mnywaji humaliza chupa hiyo bila kuona matokeo yoyote zaidi ya kupoza koo… Na mara nyingi huwa mkimya, pengine huwa anasoma gazeti lake au kwa siku hizi anawasiliana na ndugu na jamaa kupitia simu yake.

chupa ya pili 🍺🍺 kimsingi ndipo mazungumzo ya awali na wanywaji jirani huanza na haya huwa mazungumzo ya busara, yakihusu muelekeo wa ligi mbalimbali, siasa, idadi za ajali na kadhalika na wakati huu hata takwimu hutolewa zilizo sahihi….

Mtu anaweza kukutajia wachezaji wote wa ligi daraja la tatu la huko Ujerumani bila kukosea, hata idadi ya wachezaji wa Yanga bila kukosea.. Ila wakati huu kama unaanzisha mashindano ya kucheua ni wakati mzuri kwani bia ya pili huongeza hisia za kucheua.

Bia ya tatu 🍺🍺🍺 huanza kumfanya mnywaji aanze kusikia furaha na pia huu huwa wakati ambapo karanga na korosho huliwa sana…. Pamoja na mazungumzo kuhusu mpira na siasa, ghafla mazungumzo kuhusu michepuko huanza kujitokeza…..

Bia ya nne 🍺🍺🍺🍺 huanza kusababisha masikio yaanze kupoteza nguvu za kusikia kwani utaona mnywaji ghafla amepandisha sauti, na ukijumlisha na kuwa baa zetu huwa na muziki una kelele utadhani waliopo wote wana matatizo ya kusikia….. bia hii humsaidia kuongea kwa nguvu kushindana na kelele za muziki.

Bia ya tano 🍺🍺🍺🍺🍺 ni hatari kidogo kwani ukiinuka kwenda chooni mara nyingi unarudi hujafunga zipu……na kipindi hiki ni kibaya kwa wanywaji wa kike maana unaweza kumkuta akienda chooni akijiangalia kwenye kioo anaanza kulia peke yake na kulalamika; β€˜Mi sipendwi mpaka leo sijaolewa’ au β€˜ Mume wangu sijui yukoje hanijali’

Japokuwa lazima isemwe ukweli ukifikisha bia hii, maisha ni raha sana unaweza ukaanzisha shoo ya kukata mauno katikati ya baa na kudai wewe ni mkali kuliko Shilole.

Kuanzia bia ya sita 🍺🍺🍺🍺🍺🍺 na kuendelea, chochote utakachosema au kufanya ni wazi kesho yake asubuhi utajilaumu sana. ……. …Kuna watu husema ukilewa ndipo unakuwa mkweli, hivyo basi wakati huu hata bosi wako akitokeza unamueleza ukweli jinsi alivyo fala na hajui kuendesha kampuni.

Au unasema ukweli jinsi unavyompenda mke wa jirani yako ambaye mmekaa mnakunywa naye. Kimsingi uwezekano wa kutapika pia upo karibu na kama umekaa na mchumba wako huu ni muda ambao pia uchumba unaweza kuvunjika…….
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kenneth Murithi (Guest) on June 27, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on May 22, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Janet Sumaye (Guest) on April 25, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Chris Okello (Guest) on April 18, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mary Njeri (Guest) on April 17, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ramadhan (Guest) on April 11, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Yahya (Guest) on April 11, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Esther Nyambura (Guest) on March 15, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mercy Atieno (Guest) on February 27, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on February 17, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Kevin Maina (Guest) on January 12, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

John Malisa (Guest) on December 10, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on November 9, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Anna Mahiga (Guest) on October 24, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Janet Wambura (Guest) on September 27, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on September 10, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Peter Mbise (Guest) on September 7, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Jamila (Guest) on August 28, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Alice Wanjiru (Guest) on August 19, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Yahya (Guest) on August 14, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Juma (Guest) on August 3, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Faith Kariuki (Guest) on July 31, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on July 29, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on July 18, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Latifa (Guest) on July 13, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Joseph Mallya (Guest) on July 12, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Samuel Omondi (Guest) on June 29, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Lucy Kimotho (Guest) on June 26, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Salima (Guest) on June 25, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Rose Waithera (Guest) on June 24, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on June 22, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on June 16, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on June 9, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on February 23, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on January 31, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on December 20, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Edith Cherotich (Guest) on December 15, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on December 9, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 29, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Janet Sumari (Guest) on October 25, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Chris Okello (Guest) on September 10, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mwanajuma (Guest) on August 9, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

John Malisa (Guest) on August 6, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Arifa (Guest) on July 15, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

George Wanjala (Guest) on July 13, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Peter Mwambui (Guest) on July 11, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on June 18, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on May 22, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on April 13, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on March 11, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

David Kawawa (Guest) on February 24, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Mahiga (Guest) on February 17, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Ruth Mtangi (Guest) on February 16, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on February 1, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Andrew Mchome (Guest) on January 12, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mjaka (Guest) on January 5, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Elizabeth Mrope (Guest) on December 25, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on November 23, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Alex Nakitare (Guest) on November 8, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on November 6, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More