Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Watu wafanye nini iwapo wamelazimishwa kufunga ndoa na mtu wasiyemtaka?

Featured Image

Iwapo mtu amelazimishwa
kuingia katika hali ya ndoa
(kuoa/kuolewa) na msichana/
mvulana ambaye hampendi,
hatua ya kwanza ni kukataa
ndoa hiyo na kuonyesha wazi
wazi. Jadiliana suala hili na
wazazi wako. Waeleze kwa
heshima kwa nini hukubaliani
na ndoa hiyo.

Kwa kawaida wazazi wanape-nda mambo mema kwa watoto wao.
Kwa hiyo kuwepo na uhusiano mzuri kati ya wazazi na watoto
kunaweza kukapangilia mambo yakaenda vizuri.
Iwapo jaribio la kuzungumza na wazazi wako halikufaulu,
unaweza ukazungumza na mtu mwingine unayemwamini ambaye
atakubali kuzungumza na wazazi wako. Kumbuka kwamba iwapo
bado unalazimishwa kufunga ndoa, unaweza kutoa taarifa polisi
kwa kuwa sheria ya Tanzania hairuhusu kulazimisha ndoa.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Wakati wa kutunga mimba ni mbegu moja tu ya kiume inayopenya kwenye yai, mbegu nyingine zinaenda wapi?

Wakati wa kutunga mimba ni mbegu moja tu ya kiume inayopenya kwenye yai, mbegu nyingine zinaenda wapi?

Ni kweli kwamba wakati wa kujamii ana na kutunga mimba ni mbegu moja tu ya kiume i inayopenya kwe... Read More

Je, Ni Vipi Kukabiliana na Hisia za Kutokuwa Tayari kwa Ngono?

Je, Ni Vipi Kukabiliana na Hisia za Kutokuwa Tayari kwa Ngono?

Je, Ni Vipi Kukabiliana na Hisia za Kutokuwa Tayari kwa Ngono? 🌺

  1. Suala la his... Read More

Kumaliza ashiki au hamu ya kufanya mapenzi

Kumaliza ashiki au hamu ya kufanya mapenzi

Kwa vijana mara nyingine siyo rahisi kufahamu afanye nini mara anapopata ashiki (hamu) ya kutaka ... Read More

Vidokezo vya Kufurahia Safari za Pamoja na Msichana

Vidokezo vya Kufurahia Safari za Pamoja na Msichana

Kila mwanamume anapenda kukutana na msichana ambaye anaweza kuwa rafiki wa karibu na kuwa na uhus... Read More

Je, nini imani ya watu katika kujifunza kutoka kwa mwenza wako kuhusu ngono/kufanya mapenzi?

Je, nini imani ya watu katika kujifunza kutoka kwa mwenza wako kuhusu ngono/kufanya mapenzi?

Karibu kwenye nakala hii ambayo tunaangazia imani ya watu katika kujifunza kutoka kwa mwenza wako... Read More

Je, nitaweza kupata virusi vya UKIMWI na UKIMWI nikijamiiana na msichana au mvulana wa umri mdogo sana?

Je, nitaweza kupata virusi vya UKIMWI na UKIMWI nikijamiiana na msichana au mvulana wa umri mdogo sana?

Ndiyo, utaweza kuvipata virusi vya UKIMWI. Uwezekano wa kuambukizwa hautegemei umri wa mpenzi wak... Read More

Msaada juu ya ukeketaji

Msaada juu ya ukeketaji

Unaweza ukajaribu kuzungumza na wazazi wako kwamba
ukeketaji ni desturi mbaya, na pia unawez... Read More

Je, Ni Sahihi Kufanya Mapenzi na Mpenzi Wangu wa Shule?

Je, Ni Sahihi Kufanya Mapenzi na Mpenzi Wangu wa Shule?

Je, ni sahihi kufanya mapenzi na mpenzi wangu wa shule? πŸ€”

Habari vyote vijana! Leo tuta... Read More

Je, kuna tofauti za kitamaduni katika mtazamo wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kitamaduni katika mtazamo wa ngono/kufanya mapenzi?

Habari za leo wapenzi wa Kiswahili! Leo tutajadili suala la tofauti za kitamaduni katika mtazamo ... Read More

Njia ya kutambua kama umeambukizwa Virusi vya UKIMWI (VVU)?

Njia ya kutambua kama umeambukizwa Virusi vya UKIMWI (VVU)?

Njia pekee ya kujitambua kama umepata maambukizo ya
VVU ni kufanya kipimo cha damu (HIV-test... Read More

Je, Ni Sahihi Kufanya Ngono na Mpenzi Wangu wa Shule?

Je, Ni Sahihi Kufanya Ngono na Mpenzi Wangu wa Shule?

Je, ni sahihi kufanya ngono na mpenzi wako wa shule? Hii ni swali muhimu ambalo vijana wengi huji... Read More

Je, kuna njia salama ya kutoa mimba?

Je, kuna njia salama ya kutoa mimba?

Hatari inategemea na mazingira ambapo mimba inatolewa. Kama ni hospitalini na i inatolewa na mtaa... Read More