Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Nifanyeje kuepuka vishawishi vya kujamiiana kutoka kwa watu wengine, hasa wakubwa?

Featured Image

Vijana wengi wanajikuta wanatumbukia katika matatizo mazito kama kupata mimba mapema, utoaji wa mimba, magonjwa ya zinaa pamoja na maambikizi ya virusi vya UKIMWI na UKIMWI, kwa sababu wanapokea zawadi bila ya kujiuliza lengo la zawadi hizo.

Wanaume wengi wanatumia fedha kuwahadaa wasichana na wasichana wengine wamezoea kupata fedha hizo kukidhi mahitaji yao ya maisha. Jambo hili linaweza pia kuwapata wavulana kwani kwa maana kwamba wanawake watu wazima hujaribu kuwatongoza wavulana wadogo. Hivyo basi ni muhimu kwa wasichana na wavulana wote kwa pamoja kuwa waangalifu sana na zawadi zinazotolewa. Ni vema wakati wote ujiulize nini lengo la zawadi hiyo.

Pia fikiria kuhusu faida na hasara ya kujamiiana kila unapokutana na vishawishi mbalimbali. Ukikumbuka madhara ambayo unaweza kuyapata itakupa nguvu na msimamo wa kusema β€œhapana” na kujiepusha na vishawishi.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, Ni Vipi naweza Kupata Msaada au Elimu kuhusu Ngono?

Je, Ni Vipi naweza Kupata Msaada au Elimu kuhusu Ngono?

Je, ni vipi naweza kupata msaada au elimu kuhusu ngono? πŸ€”πŸ“š

Wewe kama kijana mzuri na... Read More

Je, watu wanapendelea kutumia vifaa vya burudani kama vile vyombo vya muziki au nuru ya rangi wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanapendelea kutumia vifaa vya burudani kama vile vyombo vya muziki au nuru ya rangi wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, umewahi kufanya mapenzi ukatumia vifaa vya burudani kama vile vyombo vya muziki au nuru ya ra... Read More

Je, ni kweli kwamba mtu anayekunywa pombe anaishi kwa muda mrefu kuliko yule ambaye hanywi kabisa?

Je, ni kweli kwamba mtu anayekunywa pombe anaishi kwa muda mrefu kuliko yule ambaye hanywi kabisa?

Si kweli. Mpaka sasa wanasayansi hawajathibitisha kwamba
mtu anayekunywa pombe kidogo ndiye ... Read More

Njia ya kutambua kama umeambukizwa Virusi vya UKIMWI (VVU)?

Njia ya kutambua kama umeambukizwa Virusi vya UKIMWI (VVU)?

Njia pekee ya kujitambua kama umepata maambukizo ya
VVU ni kufanya kipimo cha damu (HIV-test... Read More

Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya mvutano au ngono/kufanya mapenzi ya kupumzika?

Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya mvutano au ngono/kufanya mapenzi ya kupumzika?

Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya mvutano au ngono/kufanya mapenzi ya kupumzika? Hil... Read More

Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya kawaida au ngono/kufanya mapenzi yenye michezo ya kubahatisha?

Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya kawaida au ngono/kufanya mapenzi yenye michezo ya kubahatisha?

Je, unajua kwamba wengi wetu tunapenda kufanya mapenzi ya kawaida? Na pia unajua kwamba kuna wale... Read More

Je, watumiaji wa dawa za kulevya wanaweza kupata watoto?

Je, watumiaji wa dawa za kulevya wanaweza kupata watoto?

Ndiyo, hii i ii inawezekana. Lakini ujue kwamba watu wanaotumia dawa za kulevya huwa dhaifu kisai... Read More

Kupasuka kwa kondomu

Kupasuka kwa kondomu

Kupasuka kwa kondomu mara nyingi kunasababishwa na kondomu kutowekwa vizuri uumeni. Ni muhimu san... Read More

Je, ni muhimu kuwa na mipaka wazi katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, ni muhimu kuwa na mipaka wazi katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, ni muhimu kuwa na mipaka wazi katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi? Hili ni swali ambalo ... Read More

Je, watu wanapendelea kujaribu mbinu za kuleta msisimko wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanapendelea kujaribu mbinu za kuleta msisimko wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Karibu kwenye blogi hii ambapo tutazungumzia kuhusu mbinu za kuleta msisimko wakati wa ngono/kufa... Read More

Je, kuna madhara gani kama mtu anakaa muda mrefu bila kujamiiana au kufanya mapenzi?

Je, kuna madhara gani kama mtu anakaa muda mrefu bila kujamiiana au kufanya mapenzi?

Ukweli ni kwamba hakuna madhara yoyote ya kiafya iwapo utakaa muda mrefu bila ya kujamiiana. Viungo ... Read More
Albino anaathirikaje na unyanyapaa na ubaguzi katika jamii?

Albino anaathirikaje na unyanyapaa na ubaguzi katika jamii?

Watu wengi huwaona Albino kama watu tofauti na watu wengine
na kuwakwepa, wanaweza hata kuba... Read More