Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Misemo 17 ya kuchekesha

Featured Image

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgwi disko
4) feni haiwashwi beach
5) mshkaki hauchomwi kwa jiko la ges
6) mganga haagiz tembele
7) hata bibi alikuwa bint
8) mke wa mtu sumu,mume wamtu maziwa
9) kipara bila pesa ni kovu
10) mbwa hanenepi migiuu
11) picha ya rais haina bodyguard
12) mjini shule kijiji tuition
13) saa ya ukutani haivaliwi mkonon
14) heshima pesa shkamoo makelele
15) ulinz pesa bastora mzgo
16) kuku ni kuku jogoo mbwembwe
17) kusoma kuelewa kukesha mbwembwe

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Andrew Mahiga (Guest) on May 31, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Anna Sumari (Guest) on May 13, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on May 10, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on April 26, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Rahim (Guest) on April 16, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Mary Sokoine (Guest) on April 13, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Juma (Guest) on February 23, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mwinyi (Guest) on February 15, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Kiza (Guest) on January 10, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Grace Wairimu (Guest) on December 26, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on December 17, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on November 29, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mushi (Guest) on October 30, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Rose Amukowa (Guest) on October 18, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on August 29, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on August 9, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hellen Nduta (Guest) on August 1, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 15, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Diana Mumbua (Guest) on July 8, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Rashid (Guest) on June 29, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Moses Kipkemboi (Guest) on June 15, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Christopher Oloo (Guest) on June 7, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on May 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Salum (Guest) on April 16, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Betty Kimaro (Guest) on April 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on April 11, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on February 24, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on February 13, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on January 29, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Janet Sumari (Guest) on January 29, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on January 17, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on January 1, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Christopher Oloo (Guest) on November 10, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

John Mushi (Guest) on October 27, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on October 26, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sekela (Guest) on October 4, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mary Mrope (Guest) on September 13, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Athumani (Guest) on July 30, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mashaka (Guest) on July 17, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sarah Karani (Guest) on June 13, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Binti (Guest) on June 2, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Jane Muthui (Guest) on May 19, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jafari (Guest) on April 30, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Omari (Guest) on April 26, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Michael Onyango (Guest) on April 25, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Related Posts

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More