Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Ndege ya Tanzania

Featured Image

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita tangazo kama ifuatavyo:

Ndugu wasafiri wote, ndege unayotarajia kusafiri nayo imetengenezwa na wanafunzi wa Kitanzania.
Baada ya tangazo maprofesa wote waliteremka isipokuwa mmoja alibaki kwenye kiti chake
Walipomuuliza ni kwanini hakuondoka akajibu kwa haraka na furaha kuwa:
Kama ndege hii imetengenezwa na watanzania, hata kuwaka haitawaka!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kabura (Guest) on July 13, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Samson Mahiga (Guest) on July 5, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Salum (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Lucy Kimotho (Guest) on May 14, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on May 12, 2017

Asante Ackyshine

Miriam Mchome (Guest) on April 18, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on April 15, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on March 24, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Anna Mchome (Guest) on March 4, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on February 9, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Wambura (Guest) on January 29, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on December 6, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Amina (Guest) on November 7, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

David Sokoine (Guest) on November 6, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on October 22, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on September 30, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Grace Wairimu (Guest) on September 25, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on September 22, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on September 19, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on September 18, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Agnes Njeri (Guest) on September 16, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Ndoto (Guest) on September 7, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Stephen Kangethe (Guest) on August 29, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Kijakazi (Guest) on August 20, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Samuel Omondi (Guest) on August 6, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Macha (Guest) on July 27, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mwanaidi (Guest) on July 10, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Paul Kamau (Guest) on May 23, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Elizabeth Mrope (Guest) on May 9, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mtumwa (Guest) on April 22, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Janet Sumari (Guest) on April 19, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on April 9, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Maimuna (Guest) on March 31, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Alice Wanjiru (Guest) on March 22, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Josephine Nduta (Guest) on March 15, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

James Mduma (Guest) on March 9, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on February 23, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Njeri (Guest) on February 15, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on January 4, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on December 3, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Raha (Guest) on November 17, 2015

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Moses Mwita (Guest) on October 1, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on September 14, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Agnes Sumaye (Guest) on September 3, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Adhiambo (Guest) on August 11, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Alice Mwikali (Guest) on July 30, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on July 23, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Grace Mushi (Guest) on July 22, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on July 20, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on July 15, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

David Chacha (Guest) on June 26, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

David Nyerere (Guest) on June 2, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Saidi (Guest) on April 11, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Henry Sokoine (Guest) on April 5, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on April 1, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Related Posts

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More