Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Featured Image

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. mara saa nne hivi mdada kasema hana nauli.
Mshkaji kajikunja kamtumia Elfu tano maana mwenye shida alikuwa ni yeye……
Baada ya nusu saa yule dada akamtumia meseji.
"Jamani mpenzi, kumbe baba hatoki nilijua atatoka… sorry bae sitaweza kuja kwa leo… sooo sorry!"
Mshkaji jiii! hajajibu kitu…..

Baada ya muda kidogo meseji ikaingia katika simu ya binti, akajua mchizi kajibu. Mh! kutazama ni meseji kutoka Mpesa.

"CA90F0511 IMETHIBITISHWA Tshs 5000 ILIYOTUMWA KIMAKOSA KATIKA ACCOUNT YAKO IMETOLEWA SALIO LAKO NI Tshs 5"

Halafu ndo ikaingia meseji ya mshkaji.
"BASI POA SIKU NYINGINE KAMA VIPI"

#dada wa watu mashavu yakamshuka… hakuamini kilichotokea…. yaani jamaa keshawapigia Voda na pesa fasta imezuiliwa……

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 4, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Esther Nyambura (Guest) on December 10, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on October 9, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

James Kawawa (Guest) on September 30, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Grace Mligo (Guest) on September 27, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Habiba (Guest) on September 2, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Hawa (Guest) on July 17, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

James Kimani (Guest) on July 16, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanakhamis (Guest) on June 28, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Benjamin Masanja (Guest) on June 22, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 20, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on June 2, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Kitine (Guest) on May 18, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on May 5, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Agnes Lowassa (Guest) on March 25, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on February 21, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Maimuna (Guest) on January 23, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Khalifa (Guest) on January 19, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Shukuru (Guest) on December 6, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Joy Wacera (Guest) on November 2, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Janet Sumaye (Guest) on October 29, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mahiga (Guest) on September 22, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

George Tenga (Guest) on September 2, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on July 27, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Samuel Were (Guest) on July 18, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on July 15, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Stephen Kikwete (Guest) on July 10, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Peter Otieno (Guest) on May 10, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Shukuru (Guest) on April 20, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alex Nyamweya (Guest) on April 18, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Edward Lowassa (Guest) on March 19, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Stephen Kangethe (Guest) on March 17, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Akech (Guest) on March 14, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 3, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on January 24, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Margaret Mahiga (Guest) on January 23, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Rose Mwinuka (Guest) on January 19, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on December 16, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Stephen Mushi (Guest) on November 30, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Mwalimu (Guest) on November 11, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on October 29, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Alice Mrema (Guest) on October 16, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Patrick Akech (Guest) on October 8, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jackson Makori (Guest) on October 5, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Alice Jebet (Guest) on September 18, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on August 24, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on August 10, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine Nduta (Guest) on July 28, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on July 24, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on July 9, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Omari (Guest) on June 22, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Benjamin Masanja (Guest) on June 3, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on May 22, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Lissu (Guest) on May 16, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Peter Mbise (Guest) on April 15, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Related Posts

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More