Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Featured Image

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANA friend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambia hivi:-

MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor

MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o

MSICHANA: Aaah! Hicho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie

MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.

MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe

Baba mtu akawatazama kisha akasema

BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli

MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana yupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!

BABA: Sawa! Usisahau kumpatia na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!

Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GET PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED" by Wole Soyinka.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Sharon Kibiru (Guest) on May 20, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on May 2, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Anna Sumari (Guest) on April 27, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Bakari (Guest) on March 30, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Lucy Wangui (Guest) on February 5, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Catherine Mkumbo (Guest) on January 27, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Rahim (Guest) on January 20, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Nora Kidata (Guest) on January 12, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on December 31, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Rose Lowassa (Guest) on December 29, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Jebet (Guest) on December 22, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Elizabeth Mrema (Guest) on December 18, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lydia Mutheu (Guest) on December 10, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanaisha (Guest) on December 4, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Alice Jebet (Guest) on November 20, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on November 14, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Agnes Njeri (Guest) on October 31, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on September 15, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lucy Mahiga (Guest) on September 13, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Hawa (Guest) on August 23, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mary Kendi (Guest) on August 16, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Esther Cheruiyot (Guest) on August 11, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Shani (Guest) on August 10, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Farida (Guest) on July 7, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 3, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

David Musyoka (Guest) on June 28, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Elijah Mutua (Guest) on June 16, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Sarah Karani (Guest) on April 29, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on April 24, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ann Wambui (Guest) on April 7, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

George Wanjala (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Betty Cheruiyot (Guest) on March 22, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 23, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on February 16, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on January 31, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on January 18, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on January 15, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Agnes Njeri (Guest) on December 26, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mchuma (Guest) on October 11, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Isaac Kiptoo (Guest) on September 22, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on September 19, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mercy Atieno (Guest) on September 17, 2015

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Robert Okello (Guest) on August 28, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on August 26, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Philip Nyaga (Guest) on August 14, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joyce Aoko (Guest) on July 24, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on June 11, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

James Kawawa (Guest) on June 9, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on June 8, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mary Mrope (Guest) on June 5, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Elizabeth Mrope (Guest) on May 22, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on May 19, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kenneth Murithi (Guest) on May 6, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Brian Karanja (Guest) on April 18, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Minja (Guest) on April 10, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on April 10, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Related Posts

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More