Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Tabia za wachepukaji

Featured Image

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na sending items hufutwa kila
wakati.
3.Ukimuomba simu yake ghafla lazima
akwambie hebu
kwanza…….
4. Kamwe haiiti always vaibration.
5. Namba nyingi ha save.
6. Kuna simu hapokei hata
iweje….anapenda sms zaidi
7.Majina mengi kwenye simu yameseviwa
kwa majina ya
kufikirika.
8.Muda mwingi ni mtu wakujihami.
9.Anapenda password na anabadili mara
kwa mara.
10.Akiazima simu yako, akitumia tu
anafuta dial no
haraka.
11.Always yuko na simu…..hadi bafuni
ikibidi.
12. Anajazba ukimuuliza chochote kuhusu
simu….anajishtukia.
13. Akiwa anachati anakuangalia mara kwa
mara
kiwiziwizi
14. Hana jeuri ya kukuweka profile picture
na akikuweka
humalizi masaa anakudampu huko
Hapa kuna ukweli asilimia millioni moja
kabisa
Share na washikaji zako😜😜😜😜😜

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Kidata (Guest) on July 24, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Wanjiku (Guest) on July 13, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on July 9, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on June 20, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

John Malisa (Guest) on June 16, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Shani (Guest) on June 12, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Michael Mboya (Guest) on June 6, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on May 25, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mgeni (Guest) on April 12, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Betty Akinyi (Guest) on March 17, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on March 12, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Husna (Guest) on February 12, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Violet Mumo (Guest) on December 29, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Kazija (Guest) on December 27, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on December 22, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on December 16, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on November 2, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Shamsa (Guest) on November 1, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Shamim (Guest) on October 3, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

James Mduma (Guest) on September 26, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

David Nyerere (Guest) on September 23, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on September 20, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mariam Hassan (Guest) on September 18, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on September 15, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Lydia Mahiga (Guest) on September 8, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Janet Mwikali (Guest) on August 19, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on August 16, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on July 2, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Catherine Mkumbo (Guest) on June 25, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on June 16, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Brian Karanja (Guest) on June 6, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on June 2, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

David Ochieng (Guest) on May 28, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Baraka (Guest) on May 19, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Patrick Akech (Guest) on May 19, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on May 4, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on April 5, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

George Tenga (Guest) on April 5, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on March 25, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Josephine Nduta (Guest) on March 19, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Esther Cheruiyot (Guest) on March 17, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on March 10, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Zulekha (Guest) on February 22, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Biashara (Guest) on January 19, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Vincent Mwangangi (Guest) on December 29, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Linda Karimi (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Faith Kariuki (Guest) on December 17, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on December 10, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Kazija (Guest) on November 6, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Patrick Kidata (Guest) on September 29, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Sharon Kibiru (Guest) on September 11, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Sultan (Guest) on August 10, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on August 2, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on June 30, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Benjamin Kibicho (Guest) on June 14, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Warda (Guest) on April 21, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Related Posts

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More