Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Featured Image

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwauliza ni wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono kama ishara ya kuwa wanawapenda waume zao.
Mwalimu akauliza tena, β€œNi lini mara ya mwisho umemwambia mumeo β€œNakupenda Mpenzi”?

Majibu yalikuwa kama ifuatavyo:
Wengine wakisema Asubuhi ya leo,
Wengine jana,
Wengine wiki iliyopita
Wengine mwezi uliopita
Na wengine wakasema hawakumbuki!
Mwalimu aliwapa kazi kila mwanasemina achukue simu yake na kumtumia mume wake meseji yenye neno β€œNAKUPENDA MPENZI”
Baada ya meseji kwenda aliwaamuru kubadilishana simu kila mtu na jirani yake.
Kila mwanasemina aliambiwa kusoma meseji za majibu kwenye simu aliyoshika

Simu ya 1 – β€œSamahani, nani mwenzangu”!
Simu ya 2 – β€œSamahani, wrong number”!
Simu ya 3 – β€œSi nimekuambia usinitumie messages kwenye namba hii”!
Simu ya 4 – β€œMh! leo mvua itanyesha”!
Simu ya 5 – β€œNikija tutaongea zaidi”!
Simu ya 6 – β€œβ€¦β€¦Imedhibitishwa umepokea Tsh300,000 kutoka kwa ……”!
Simu ya 7 – β€œMe too”!
Simu ya 6 – β€œHuu ujumbe ndio ulikuwa unamtumia huyo hawara yako ee, leo utanikoma”!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Hekima (Guest) on September 11, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on September 2, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on June 30, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Frank Sokoine (Guest) on May 29, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Janet Mwikali (Guest) on May 22, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Amukowa (Guest) on May 17, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on May 16, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on May 15, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Victor Kimario (Guest) on May 1, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Kheri (Guest) on April 27, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Thomas Mtaki (Guest) on April 12, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Monica Adhiambo (Guest) on March 15, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rubea (Guest) on February 3, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Chris Okello (Guest) on December 15, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

James Kawawa (Guest) on December 13, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Safiya (Guest) on December 9, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Zuhura (Guest) on November 30, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Thomas Mtaki (Guest) on November 24, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Selemani (Guest) on November 7, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Lucy Wangui (Guest) on October 31, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Muslima (Guest) on September 28, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Shani (Guest) on September 25, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on August 21, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on August 18, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zainab (Guest) on August 11, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Grace Njuguna (Guest) on August 6, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Victor Kimario (Guest) on July 11, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Hawa (Guest) on June 24, 2016

Asante Ackyshine

Shamim (Guest) on May 23, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

George Mallya (Guest) on May 23, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on May 14, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on May 10, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on April 27, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Victor Sokoine (Guest) on April 20, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Monica Lissu (Guest) on March 5, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on March 4, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sharifa (Guest) on February 5, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lucy Wangui (Guest) on January 30, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mwanaidha (Guest) on January 13, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

James Mduma (Guest) on December 16, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

John Malisa (Guest) on December 12, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on December 2, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Stephen Malecela (Guest) on November 17, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Grace Majaliwa (Guest) on October 23, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Saidi (Guest) on October 11, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Issa (Guest) on October 10, 2015

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Bahati (Guest) on October 1, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Vincent Mwangangi (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Catherine Naliaka (Guest) on August 7, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on July 21, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mtei (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

George Tenga (Guest) on May 15, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 9, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More