Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Featured Image
Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!..
Wakapelekwa contractors watatu ili achaguliwe mmoja atakayejenga vzr na kwa bei nafuu!..
Wakwanza alikuwa MUHINDI, wa pili MCHINA na MBONGO!…

MUHINDI: "ntajenga kwa milioni 90!.., 40 za vifaa, 40 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MCHINA: "mi ntajenga kwa milioni 70!.., 30 za vifaa, 30 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MBONGO kuona vile akamvuta chemba msimamizi wa Magogoni!..
MBONGO: "mi ntajenga kwa milioni 270"

MSIMAMIZI WA MAGOGONI: "we una wazimu nn!.. yaani unathubutu kusema hivyo na unaona wenzako wametaja kiwango kidogo?!."

MBONGO: "milioni 100 zako, 100 zangu alafu hiyo milioni 70 tunaajiri yule mchina"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Njoroge (Guest) on September 16, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on July 17, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on July 15, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Jafari (Guest) on July 1, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Josephine (Guest) on July 1, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on June 1, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Tenga (Guest) on May 10, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Kiza (Guest) on April 30, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Michael Onyango (Guest) on April 15, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Joseph Kitine (Guest) on March 23, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on March 12, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Alice Mrema (Guest) on March 10, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on February 12, 2017

😊🀣πŸ”₯

Mary Njeri (Guest) on February 4, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on January 9, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on January 5, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Bahati (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Henry Mollel (Guest) on November 30, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on November 17, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on November 13, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Fadhila (Guest) on November 10, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Tabitha Okumu (Guest) on November 3, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Mwambui (Guest) on October 5, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Majid (Guest) on July 31, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Kahina (Guest) on July 26, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Joseph Njoroge (Guest) on July 4, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on May 28, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on May 26, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on May 9, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jaffar (Guest) on May 4, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 14, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on April 2, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Thomas Mtaki (Guest) on March 17, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Catherine Mkumbo (Guest) on February 11, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on January 21, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mercy Atieno (Guest) on January 18, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Zainab (Guest) on January 4, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Francis Mtangi (Guest) on December 26, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Agnes Lowassa (Guest) on December 21, 2015

🀣πŸ”₯😊

Rahma (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Richard Mulwa (Guest) on November 15, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on October 28, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Michael Onyango (Guest) on October 12, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on October 3, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Sarah Karani (Guest) on September 3, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on August 28, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Zakia (Guest) on August 20, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Rabia (Guest) on July 5, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on July 3, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Biashara (Guest) on June 26, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Alice Jebet (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anna Mchome (Guest) on May 27, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Mustafa (Guest) on May 22, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Philip Nyaga (Guest) on May 3, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on April 24, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on April 6, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Related Posts

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More