Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Featured Image

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu
RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana
JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana
ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
RAFIKI: Nini tena?





JAMAA:Nimegundua mke wangu kumbe anafanya biashara ya kitimoto na hajawahi hata kuniambia
RAFIKI: Kitimoto? We umejuaje?
JAMAA: Leo asubuhi nilichelewa kuamka niliamua nijipumzishe kidogo kabla ya kwenda kazini, simu ya mke wangu ikalia, nikaamua kuipokea, kabla hata sijafungua mdomo, nikasikia sauti ya mwanaume mmoja akauliza, β€œHuyo nguruwe umeshamuondoa?’ Hebu we fikiria nilivyoshtuka, yaani mpaka sasa nashindwa kuamini kuwa mke wangu ananizunguka anafanya biashara ya nguruwe hajaniambia hata siku moja


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kenneth Murithi (Guest) on May 28, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on May 12, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on May 7, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on May 4, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on April 22, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

David Chacha (Guest) on February 27, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rukia (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Rose Amukowa (Guest) on January 21, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on January 11, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Francis Njeru (Guest) on January 7, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Umi (Guest) on December 18, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Edward Lowassa (Guest) on December 18, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Chum (Guest) on December 14, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Alice Mwikali (Guest) on October 25, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Mrema (Guest) on October 15, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

John Lissu (Guest) on October 14, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mzee (Guest) on October 7, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mariam Hassan (Guest) on September 23, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Muslima (Guest) on September 11, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Ahmed (Guest) on August 18, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Edward Lowassa (Guest) on August 1, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Amina (Guest) on July 17, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Joseph Kiwanga (Guest) on July 16, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Njeru (Guest) on July 8, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on July 6, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Michael Onyango (Guest) on May 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Baraka (Guest) on May 28, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Anna Mchome (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Jacob Kiplangat (Guest) on May 11, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on April 25, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Agnes Njeri (Guest) on March 13, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Lucy Mahiga (Guest) on March 8, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Daudi (Guest) on February 27, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Joseph Kitine (Guest) on January 30, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on December 21, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Bernard Oduor (Guest) on November 22, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on November 6, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Janet Mbithe (Guest) on November 2, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on October 23, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Rabia (Guest) on October 21, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Arifa (Guest) on October 3, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on September 9, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ali (Guest) on September 5, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Grace Majaliwa (Guest) on August 29, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mchome (Guest) on August 18, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on August 10, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Malisa (Guest) on August 1, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on August 1, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on July 30, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Sokoine (Guest) on July 27, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Stephen Kikwete (Guest) on July 21, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

James Malima (Guest) on July 6, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 21, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on June 13, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on June 6, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on April 23, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Husna (Guest) on April 13, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Related Posts

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More