Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Featured Image

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakunywa bia ngapi!?





MLEVI; "Nakunywa bia tano!
MCHUNGAJI; "Bia moja bei gani!?
MLEVU; "2500/
MCHUNGAJI; "Ulianza lini kunywa bia!?
MLEVI; "Miaka 18 iliyopita!





MCHUNGAJI; "Kwa hiyo kwa siku unatumia zaidi ya 10,000??
MLEVI; "Ndio!
MCHUNGAJI; "Kama u gekuwa unatunza hiyo pesa 10,000 kwa siku leo hii si ungekuwa na Range Rover!?
MLEVI; "Samahani, naweza kukuuliza swali!?
MCHUNGAJI; "Uliza!
MLEVI; "Unakunywa bia!?
MCHUNGAJI; "Hapana!
MLEVI; "Nionyeshe Range Rover yako!
MCHUNGAJI; "akasepa"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jafari (Guest) on March 2, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Vincent Mwangangi (Guest) on February 14, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Paul Kamau (Guest) on February 11, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Philip Nyaga (Guest) on January 15, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Vincent Mwangangi (Guest) on January 15, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Michael Onyango (Guest) on December 9, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mercy Atieno (Guest) on November 3, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Tabitha Okumu (Guest) on October 17, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Christopher Oloo (Guest) on October 14, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on October 9, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Yahya (Guest) on October 9, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Francis Njeru (Guest) on September 28, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Baraka (Guest) on August 31, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Sarah Achieng (Guest) on August 24, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Zuhura (Guest) on July 24, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Sarafina (Guest) on July 14, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Rashid (Guest) on June 24, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Dorothy Nkya (Guest) on June 13, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Chris Okello (Guest) on May 26, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

George Tenga (Guest) on May 25, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Minja (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mwachumu (Guest) on May 10, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Anna Mahiga (Guest) on May 4, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Edward Lowassa (Guest) on April 14, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on April 8, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Thomas Mtaki (Guest) on April 4, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on March 18, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Salum (Guest) on March 14, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Edwin Ndambuki (Guest) on March 11, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on February 10, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on January 31, 2016

😊🀣πŸ”₯

John Mwangi (Guest) on January 7, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on January 4, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Rose Mwinuka (Guest) on December 28, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on December 21, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on December 4, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Safiya (Guest) on November 26, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Husna (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mercy Atieno (Guest) on November 1, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Agnes Lowassa (Guest) on October 18, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on October 5, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Victor Mwalimu (Guest) on October 3, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on September 21, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on September 7, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on August 27, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Malima (Guest) on August 20, 2015

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Mahiga (Guest) on August 7, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on August 4, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on August 1, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on July 25, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on July 17, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on July 9, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on July 5, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mchuma (Guest) on June 21, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Andrew Odhiambo (Guest) on June 16, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on April 8, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More