Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Featured Image

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai akachukua tax wakati wa kurudi.walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi.

Masai: we dureva? Naulisa Ng'ombe na mbusi ipi ngali?
Dereva: Ni ng'ombe ghali Masai.
Masai: kwanini Ng'ombe ngali?
Dereva: kwa sababu ni mkubwa zaidi ya mbuzi
Masai: umepata..na mbusi na kuku ipi ngali
Dereva: ni mbuzi kwa sababu nae ni mkubwa kuliko kuku.
Masai: Umepata..
Masai: sasa me nimekwenda kule mwenge kwa ngali kubwa nikalitoa sh. 500 hii yko ndogo unasema nikupe 40,000 wewe acha wizi.. Nitakupa 250 Tu..wee acha lbia morani…!!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Amukowa (Guest) on September 30, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on September 16, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on August 22, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Janet Mbithe (Guest) on August 7, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Hawa (Guest) on July 29, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Kiza (Guest) on July 19, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sarah Karani (Guest) on June 23, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Nancy Kabura (Guest) on June 8, 2017

😊🀣πŸ”₯

Andrew Mchome (Guest) on May 28, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on May 25, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on May 19, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on May 16, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Benjamin Kibicho (Guest) on May 13, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Samson Mahiga (Guest) on April 18, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on March 17, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Robert Okello (Guest) on March 1, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on February 20, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on February 20, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Charles Mrope (Guest) on February 14, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on February 10, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Zawadi (Guest) on February 6, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Christopher Oloo (Guest) on January 8, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on December 11, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Ann Wambui (Guest) on November 28, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on November 13, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Joseph Kawawa (Guest) on October 29, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Zuhura (Guest) on October 11, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

David Chacha (Guest) on October 9, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Kenneth Murithi (Guest) on October 2, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

David Nyerere (Guest) on September 26, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Peter Mwambui (Guest) on September 25, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

James Mduma (Guest) on August 9, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Esther Nyambura (Guest) on July 25, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Susan Wangari (Guest) on June 16, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on May 24, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Fadhila (Guest) on May 21, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Raphael Okoth (Guest) on May 20, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Kheri (Guest) on May 18, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

George Wanjala (Guest) on May 14, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Baraka (Guest) on May 13, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

John Lissu (Guest) on April 15, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on April 2, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Patrick Akech (Guest) on March 3, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam (Guest) on February 25, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Jackson Makori (Guest) on February 20, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on February 9, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on February 8, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on December 26, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Dorothy Nkya (Guest) on October 13, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Francis Mtangi (Guest) on September 20, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Sekela (Guest) on September 18, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Robert Okello (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Bernard Oduor (Guest) on July 30, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Janet Sumaye (Guest) on July 8, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Catherine Naliaka (Guest) on June 28, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Raphael Okoth (Guest) on June 24, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More