Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Featured Image

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasimama katikati ya Gari-Akasema; "Jamani Naomba Aliyeniibia Pesa yangu Arudishe Haraka,
Tena Fasta kabla Sijafanya Tukio kama Nililofanya 1977"
Abiria kuskia hivyo wakaogopa.
Ikabidi Mwizi Ajitokeze,
Akarudisha Pesa na Kuomba Msamaha! Mtu Mmoja akauliza,
Mzee,
Kwani 1977 Ulifanya nn?
Si nilienda kwa Miguu mpaka Nyumbani!
Uscheke Peke Yako, wa2mie na wengine ili nao wacheke!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Mwalimu (Guest) on April 11, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on April 10, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mgeni (Guest) on March 18, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mariam (Guest) on March 7, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Issack (Guest) on February 27, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 12, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Dorothy Nkya (Guest) on January 20, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Yusra (Guest) on December 29, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Elijah Mutua (Guest) on December 6, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on November 30, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on October 30, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Peter Mwambui (Guest) on October 21, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Hawa (Guest) on September 29, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Elijah Mutua (Guest) on September 7, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on September 1, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on July 23, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Victor Mwalimu (Guest) on June 11, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on May 10, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on May 4, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jamila (Guest) on April 20, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nancy Kabura (Guest) on April 15, 2016

Asante Ackyshine

Edward Chepkoech (Guest) on April 4, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Zakia (Guest) on March 30, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

James Malima (Guest) on March 30, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Elijah Mutua (Guest) on March 1, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on February 29, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Wande (Guest) on February 24, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Jamal (Guest) on February 24, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Hellen Nduta (Guest) on February 23, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Saidi (Guest) on February 22, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Monica Lissu (Guest) on February 16, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Hekima (Guest) on February 9, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

George Mallya (Guest) on January 31, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nancy Akumu (Guest) on January 24, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on January 23, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Emily Chepngeno (Guest) on October 5, 2015

🀣πŸ”₯😊

Christopher Oloo (Guest) on October 5, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Edwin Ndambuki (Guest) on September 18, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on September 6, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on August 20, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on August 20, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Hawa (Guest) on August 16, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Diana Mumbua (Guest) on August 12, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Sarafina (Guest) on July 31, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

David Sokoine (Guest) on June 28, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Furaha (Guest) on June 14, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Carol Nyakio (Guest) on June 11, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on June 10, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on June 8, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on May 28, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on May 21, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Miriam Mchome (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Violet Mumo (Guest) on May 1, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on April 3, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on April 2, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More