Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Featured Image

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, analivaa dela bila nguo ya ndani mbele yako, unazidiwa anakupa kitu fresh unatoka unatabasamu.πŸ€πŸ½πŸ™ŒπŸ½

Mwanamke wa kitanga:
Unampa hela anapika vitu mtaa mzima unasikia harufu ya chakula, chenji inayo baki ananunua kinga ukirudi unakula afu unakula..πŸ‘πŸΌπŸ‘πŸΌπŸ€πŸ½πŸ™ŒπŸ½

Mwanamke wa kihaya:
Unampa hela ukirudi unakuta majirani wote wanataarifa kuwa wew uliacha hela, anakupkia vitu vzuri, usiku anakuhudumia ukimsifia anakuhudumia tena hata mara nne kwa usiku mmoja..we mle sifa tuπŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ€ΈπŸΎβ€β™€πŸ‘ŒπŸ½.

Mwanamke wa kichaga:
Unampa hela anaenda ananunua dagaa anapika na michuzi mingi mpaka dagaa wanafufuka unakula kwa shida, dagaa wanakula utumbo wako unakufa.. Madaktari wanajitahidi wanakutibu unafufuka. Ukiwa hujapata akili vizuri anakuletea bili ya umeme, anakukumbusha deni la kwa Massawe, anakukumbusha kodi ya nyumba.. *Unashikwa na presha unakufa moja kwa moja*πŸ™ŒπŸ½πŸ˜‚πŸ™†πŸΌβ€β™‚πŸƒπŸΎπŸ€ΈπŸΎβ€β™€

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Sekela (Guest) on June 21, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on April 16, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Issack (Guest) on April 4, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on February 20, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

James Kimani (Guest) on February 18, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Raphael Okoth (Guest) on January 30, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Esther Nyambura (Guest) on January 21, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Victor Mwalimu (Guest) on January 2, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Rose Kiwanga (Guest) on December 21, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on November 28, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Nassor (Guest) on November 4, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Irene Akoth (Guest) on October 25, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on October 14, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Ann Awino (Guest) on September 26, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Anna Kibwana (Guest) on September 25, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Irene Makena (Guest) on September 21, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on August 30, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Samson Mahiga (Guest) on August 28, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on August 17, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Faith Kariuki (Guest) on August 13, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Leila (Guest) on July 31, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Lucy Mahiga (Guest) on July 17, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on July 13, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on June 30, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on June 10, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Hassan (Guest) on May 31, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on May 11, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on April 23, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on March 31, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Peter Mugendi (Guest) on March 24, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Baridi (Guest) on March 8, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Patrick Akech (Guest) on March 5, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on February 21, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on February 19, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Omari (Guest) on February 8, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Joseph Kawawa (Guest) on February 4, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Patrick Akech (Guest) on February 4, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on January 4, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on January 1, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Benjamin Kibicho (Guest) on December 23, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Nancy Kawawa (Guest) on November 26, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Tabitha Okumu (Guest) on November 19, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on November 16, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on October 30, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Irene Akoth (Guest) on September 10, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on August 14, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Agnes Lowassa (Guest) on August 8, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 1, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on July 15, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on July 3, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Juma (Guest) on June 29, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Elizabeth Mrope (Guest) on June 6, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Esther Cheruiyot (Guest) on June 2, 2015

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

John Malisa (Guest) on May 19, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elijah Mutua (Guest) on May 2, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on April 27, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Related Posts

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More