Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. Pengine kama Chinese wamejenga ingine.

Odhis:Β Hii gari haina watu bana.
Makanga:Β Kwani hao wawili wenye wamekaa hapo ndani ni ng’ombe?

Man:Β Wekeni nyimbo za Yesu tafadhali.
Makanga:Β Yesu bado hajatoa album. Akitoa tutaeka.

Mwikali:Β Excuse me conda…gari za Mwingi zinapandiwa wapi?
Makanga:Β Ziliacha kupandwa juu hazimei.

Man:Β Kwani mwisho wa gari ni wapi?
Makanga:Β Mwisho ni hapo penye number plate iko.

Karis:Β Ruaka ni how much?
Makanga:Β Sijaskia Ruaka ikiuzwa. But nikiskia nitakwambia.

Passenger:Β Shukisha dere.
Makanga:Β Tukishukisha dere utaendesha gari?

Johnny:Β Maze, hii gari iko na joto sana.
Makanga:Β Basi shuka upande fridge

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mwanaidi (Guest) on June 23, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Moses Kipkemboi (Guest) on May 29, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Anna Kibwana (Guest) on May 22, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Linda Karimi (Guest) on May 16, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Robert Okello (Guest) on April 21, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Mchome (Guest) on April 14, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on April 1, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Leila (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

John Lissu (Guest) on February 15, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on December 30, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Joyce Aoko (Guest) on December 18, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on November 30, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 22, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on November 20, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mwinyi (Guest) on November 11, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on November 6, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on November 5, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Wilson Ombati (Guest) on October 6, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on September 23, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on September 22, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on September 19, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on June 21, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Margaret Anyango (Guest) on June 19, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Fatuma (Guest) on June 18, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mhina (Guest) on June 11, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Sumaya (Guest) on June 8, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Emily Chepngeno (Guest) on June 6, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on May 24, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Nora Kidata (Guest) on May 22, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Stephen Amollo (Guest) on May 17, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on May 12, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on May 3, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on May 3, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Kevin Maina (Guest) on April 24, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Sharon Kibiru (Guest) on February 15, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Anna Malela (Guest) on February 13, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mariam Hassan (Guest) on February 8, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on January 27, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on January 20, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Grace Njuguna (Guest) on January 16, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Wangui (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Patrick Mutua (Guest) on November 3, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on October 8, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Sumaya (Guest) on October 8, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Stephen Malecela (Guest) on September 23, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 10, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Leila (Guest) on September 9, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Raphael Okoth (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Habiba (Guest) on July 9, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

John Mushi (Guest) on July 2, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on June 29, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kendi (Guest) on June 2, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Warda (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Margaret Anyango (Guest) on May 3, 2015

🀣πŸ”₯😊

Brian Karanja (Guest) on April 11, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More