Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao kufika tyu ghafla unakutana na dada yake getini ambaye alikuwa ni mpenzi wako wa zamani, ile kuingia ndani unamuona kaka yake ambaye mlipigana baada ya kukufumania na mke wake, hujakaa vizuri unamuona mama yake ambaye ndiye jimama shangingi lako anayekuweka mjini akupaye jeuri ya kutamba ambapo hata gari unalolitumia alikupa yeye na hataki upajue anapoishi, wakati unataka kuondoka unakutana uso kwa uso na baba yake ambaye alikuwaga wakili wako kwenye kesi ya ubakaji`

πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kiza (Guest) on December 26, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Lydia Mahiga (Guest) on November 29, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Hellen Nduta (Guest) on November 27, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Adhiambo (Guest) on November 22, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Jamal (Guest) on November 6, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Fikiri (Guest) on November 6, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Elizabeth Malima (Guest) on October 17, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Michael Onyango (Guest) on October 14, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on October 9, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Anthony Kariuki (Guest) on October 9, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

John Mushi (Guest) on September 29, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Sumari (Guest) on September 29, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on September 10, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Frank Macha (Guest) on September 10, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Fatuma (Guest) on August 28, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 24, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on August 18, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on August 6, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on July 23, 2016

🀣πŸ”₯😊

Alice Jebet (Guest) on July 2, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mwajabu (Guest) on June 27, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Peter Tibaijuka (Guest) on June 19, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on June 18, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Mtangi (Guest) on June 13, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 30, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on May 22, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on May 18, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on May 15, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on April 29, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Henry Sokoine (Guest) on April 27, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on April 19, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

George Ndungu (Guest) on March 28, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Grace Njuguna (Guest) on March 25, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on March 21, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on February 21, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Diana Mallya (Guest) on January 23, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on January 11, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Alice Mrema (Guest) on December 21, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

David Kawawa (Guest) on December 18, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Emily Chepngeno (Guest) on November 30, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on November 18, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Muslima (Guest) on November 11, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Edward Lowassa (Guest) on October 17, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Fikiri (Guest) on October 14, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Rose Lowassa (Guest) on October 5, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on September 29, 2015

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Kahina (Guest) on September 21, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Irene Akoth (Guest) on September 12, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Lucy Mushi (Guest) on August 27, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Anna Sumari (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Nora Lowassa (Guest) on August 12, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on July 27, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on June 1, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

James Mduma (Guest) on May 23, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on April 24, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on April 12, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Zawadi (Guest) on April 6, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Related Posts

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More