Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Featured Image

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dogo la Lap Top mkononi, sura inatazama Mbele Very Serious kama nipo kwenye Gwaride la Uhuru!..Mabega juu yanafanya Cheers na Mawingu!, natembea kwa madoido…..leo nimetoka Likizo Moshi,

"Brother Simu ya ukweli hii..kitu cha Tecno C9 bei poa" hii ilikuwa sauti ya Teja mmoja hivi!

Yaani huyu Teja Bwege kweli,anataka kumuuzia nani sabuni? mimi sio wa kuja!…kamwe Siwezi kuibiwa hapa Town,hakuna wizi au utapeli nisioujua!, Mimi nimezaliwa Mwananyamala kwa Manjunju, nikalelewa Tandale kwa Mtogole, Shule ya msingi nimesoma Turiani Magomeni, Hivi Mbwa gani aniibie?…kwa Style ipi?

Sipendi kabisa Upuuzi!, Wajinga ndio wataibiwa, sio Mimi!…sasa Kwa mwendo wa haraka nikatoka nje kabisa ya Stendi ya Ubungo straight mpaka Stendi ya dala dala za Kariakoo, hapo ndipo nikakutana na Vijana wawili wadogo wakiwa na mzani wa kupimia uzito,…hakika napenda sana vijana wanaojituma kama hawa na sio ile Mijizi ya kule ndani Stendi!!,….hapa sasa nikapata wazo!

"Dogo mnapima uzito kwa shilingi ngapi?''

"Mia mbili tu Kaka!"

''Ok"

Kwa mwendo wa kikakamavu nikapanda juu ya mzani,lengo hapa ni kujua uzito wangu, Mtori niliokula mwezi mzima kule kwa Mshekuu sio mchezo, hapa nahisi nacheza kwenye kg za John Cena,

"Mama wee! Dogo mzani mzima huu kweli? Mbona nina kilo 134?" (Nilihamaki)

"Aaah! Brother huoni umepanda na Mabegi juu ya mzani?'''

Hahaha! kweli nimechanganyikiwa!…Sasa nikatoa mabegi yote mawili na kurudi juu ya Mzani, hapa ndipo Uzito ukashuka kutoka kg 134 mpaka kg 56!…My God kweli Body la "One Pack " haliongopi! thats means mabegi yaliniongezea kg 78! duh hii ni hatari!

"Yaani we Dogo kitambi chote hiki kg 56? huu Mzani Mzima kweli?"

Kimya…

"Dogo huu Mzani vipi?"

Kimya…

Dogo ana dharau huyu!…Sasa ndio nikabandua macho yangu toka kwenye kioo cha mzani ili nimtazame huyu dogo asiyejibu!….ndipo macho yangu yakakutana na Kigoda tupu kilichochongwa Mvomero!…Dogo hakuwepo!….na Mabegi pia hayapo!…lap top haipo!….NIMEPIGWA!

Ni dhahiri watoto wa Mjini walikuwa wameniacha juu ya Mzani, wamechukua Lap top ya Milioni na wameniachia Mzani chakavu wa elfu 40, what a stress!….sasa nilirudisha macho kwenye kioo cha uzito na sasa kilisoma KG 38!…yaani dakika hii hii nimepungua kilo zingine 18, Hakiyamama nahisi hata utumbo wangu wamebeba!…niitieni Ambulance!

πŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Frank Sokoine (Guest) on June 21, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Malela (Guest) on June 4, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joyce Nkya (Guest) on May 25, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on April 30, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Agnes Njeri (Guest) on April 12, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on March 10, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

David Musyoka (Guest) on March 1, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Aziza (Guest) on February 15, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

George Tenga (Guest) on February 13, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Wande (Guest) on February 8, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Musyoka (Guest) on January 25, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on January 20, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Kijakazi (Guest) on January 19, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on December 9, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Khalifa (Guest) on November 2, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Henry Mollel (Guest) on October 6, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on August 25, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on August 8, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on July 25, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Samson Mahiga (Guest) on July 19, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on July 17, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on July 6, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Samuel Omondi (Guest) on June 22, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on June 17, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on June 16, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on June 15, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Samson Tibaijuka (Guest) on May 17, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Edwin Ndambuki (Guest) on March 20, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on February 25, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on February 5, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Edith Cherotich (Guest) on February 1, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on January 26, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on January 21, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Biashara (Guest) on January 9, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Rubea (Guest) on January 8, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Kahina (Guest) on December 13, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Nancy Akumu (Guest) on November 11, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

David Kawawa (Guest) on October 26, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on October 19, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on September 29, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on September 23, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on September 18, 2015

😊🀣πŸ”₯

Violet Mumo (Guest) on September 17, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Maneno (Guest) on September 7, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Bernard Oduor (Guest) on September 6, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Joyce Nkya (Guest) on August 27, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

John Lissu (Guest) on August 20, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Tambwe (Guest) on July 29, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Salum (Guest) on July 21, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Alex Nyamweya (Guest) on July 10, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on June 2, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Linda Karimi (Guest) on May 31, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on May 14, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Tabu (Guest) on April 6, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Related Posts

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More