Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Simu ilivyozua utata

Featured Image

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuwa na kupiga) Mtoto…Mama simu ya baba imepokelewa na mwanamke. (Mama kwa hasira) Akirud atanitambua leo. (Baada ya muda kidogo baba akarud,kufika mlangon tu kapokewa na sufuria ya kichwa. Hajakaa vzur mwiko wa pua) Mama..Mwanangu ulipopiga simu ya babako mwanamke wake alisemaje?? Mtoto..Alisema mteja unaempigia hapatikan kwa sasa…..

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Mutua (Guest) on November 5, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Elizabeth Mrope (Guest) on October 26, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Stephen Malecela (Guest) on September 19, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwakisu (Guest) on September 4, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Faith Kariuki (Guest) on September 2, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Juma (Guest) on August 13, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Charles Mrope (Guest) on August 5, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on June 23, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Agnes Njeri (Guest) on June 21, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on June 13, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Grace Majaliwa (Guest) on June 12, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on May 12, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Mary Kendi (Guest) on April 23, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on April 7, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Lucy Mushi (Guest) on March 2, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Moses Kipkemboi (Guest) on February 3, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Michael Onyango (Guest) on January 22, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Janet Sumari (Guest) on December 30, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Nassor (Guest) on December 15, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Michael Mboya (Guest) on November 11, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Joseph Njoroge (Guest) on October 31, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Philip Nyaga (Guest) on October 7, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Rukia (Guest) on October 1, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Zulekha (Guest) on September 19, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joy Wacera (Guest) on September 5, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Robert Ndunguru (Guest) on August 23, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on August 23, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 7, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Charles Wafula (Guest) on August 6, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on July 1, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on June 27, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Stephen Kikwete (Guest) on June 19, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Raha (Guest) on June 5, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Muslima (Guest) on May 3, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Shani (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Hawa (Guest) on April 12, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Linda Karimi (Guest) on February 29, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Diana Mallya (Guest) on February 28, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Maulid (Guest) on February 18, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anthony Kariuki (Guest) on February 15, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 10, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Philip Nyaga (Guest) on February 8, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on February 4, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Esther Cheruiyot (Guest) on December 24, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Wanjiru (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on October 18, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mzee (Guest) on October 17, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Josephine Nekesa (Guest) on October 9, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on September 24, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Zakaria (Guest) on August 16, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Nkya (Guest) on July 26, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Khadija (Guest) on July 18, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Agnes Lowassa (Guest) on July 15, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Nancy Kawawa (Guest) on July 11, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on July 6, 2015

πŸ˜† Kali sana!

James Mduma (Guest) on June 11, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Nyota (Guest) on May 17, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Related Posts

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More