Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Featured Image

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile Sh 600 iliyobaki na kwenda Dukani Kumnunulia Soda Unaondoka na Chupa Mbili Unanunua Fanta Moja kwaajil ya Mgeni na Ile Chupa ya Sprite Unaijaza Maji ili Ukirudi Uweze kumpa Kampani Mgeni……Unafika Seblen Unampa Ile soda ya Fanta Mgeni anakuambia Fanta huwa situmii Nipe hiyo sprite …..Bwana….Bwana. …Bwana….Weee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Wilson Ombati (Guest) on May 31, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Grace Njuguna (Guest) on May 25, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Faiza (Guest) on May 19, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jaffar (Guest) on May 17, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Brian Karanja (Guest) on May 3, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on April 26, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Masika (Guest) on April 25, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mjaka (Guest) on April 15, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mchome (Guest) on April 7, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Sarah Karani (Guest) on March 14, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Victor Mwalimu (Guest) on March 2, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mashaka (Guest) on February 25, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joyce Nkya (Guest) on February 11, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Edith Cherotich (Guest) on February 5, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on January 30, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on January 24, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on January 8, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Joyce Aoko (Guest) on January 7, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on January 2, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 2, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on December 24, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on December 15, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Andrew Mahiga (Guest) on October 5, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on September 17, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Jebet (Guest) on August 18, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on July 28, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on July 26, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Wande (Guest) on June 29, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Hellen Nduta (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Janet Sumaye (Guest) on June 11, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Zakia (Guest) on May 30, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mashaka (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Carol Nyakio (Guest) on April 25, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Benjamin Masanja (Guest) on April 20, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on March 22, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Paul Kamau (Guest) on March 2, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on March 1, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on February 28, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Robert Okello (Guest) on February 20, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

David Ochieng (Guest) on January 15, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

John Malisa (Guest) on November 18, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

David Nyerere (Guest) on November 11, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Paul Kamau (Guest) on November 9, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Hamida (Guest) on October 30, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Nasra (Guest) on October 23, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Paul Ndomba (Guest) on September 22, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Sokoine (Guest) on September 12, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Alice Jebet (Guest) on September 11, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on August 17, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on July 30, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

David Chacha (Guest) on July 20, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on July 10, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Victor Mwalimu (Guest) on July 2, 2015

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Joyce Nkya (Guest) on June 23, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Akumu (Guest) on June 2, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Lydia Mahiga (Guest) on April 18, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More