Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Featured Image

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kushoto ni wageni waalikwa, akaenda kushoto maana yy alialikwa. Akakuta mlango wa2 umeandikwa kulia wenye zawadi kushoto wasionazawadi yy hakuwa na zawadi. Mlango Wa 3 umeandikwa kulia wanawake kushoto waume akapita kushoto akajikuta ametokea mtaani

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„. Tujifunze kutoa wandugu

*hatupendagi ujinga sisi*
🚢🏿🚢🏿🚢🏿🚢🏿🚢🏿🚢🏿🚢🏿

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Abdullah (Guest) on March 11, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Michael Mboya (Guest) on February 4, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mgeni (Guest) on February 3, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Patrick Mutua (Guest) on January 22, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Aziza (Guest) on January 22, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Rahim (Guest) on December 22, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on December 16, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Jafari (Guest) on December 12, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Isaac Kiptoo (Guest) on November 22, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Yusuf (Guest) on November 20, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sarah Karani (Guest) on November 11, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Hawa (Guest) on November 9, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Hellen Nduta (Guest) on October 25, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on October 19, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on October 7, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Stephen Mushi (Guest) on September 7, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

David Sokoine (Guest) on September 2, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Lucy Mushi (Guest) on August 26, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Bahati (Guest) on August 18, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Josephine Nduta (Guest) on August 15, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Diana Mumbua (Guest) on August 12, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Selemani (Guest) on August 8, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on July 31, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanakhamis (Guest) on July 16, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Catherine Mkumbo (Guest) on July 12, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Stephen Malecela (Guest) on June 16, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Shamim (Guest) on June 15, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Rose Kiwanga (Guest) on June 11, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Sarah Achieng (Guest) on June 3, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Khalifa (Guest) on May 14, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Lydia Mutheu (Guest) on May 7, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on April 26, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on April 6, 2016

🀣πŸ”₯😊

David Musyoka (Guest) on March 15, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on March 4, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Tabitha Okumu (Guest) on March 3, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Jamal (Guest) on February 23, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Richard Mulwa (Guest) on January 11, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Zainab (Guest) on December 17, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Sultan (Guest) on November 26, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Joyce Aoko (Guest) on November 20, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on November 8, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Shamim (Guest) on October 18, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Sumaya (Guest) on October 11, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Henry Mollel (Guest) on September 28, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Rose Waithera (Guest) on September 13, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on September 4, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Khalifa (Guest) on August 26, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Zubeida (Guest) on August 8, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Saidi (Guest) on July 31, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Monica Lissu (Guest) on July 30, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 29, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Amina (Guest) on July 28, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on July 1, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on June 22, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on June 13, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More