Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Featured Image

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya kadi kuchapwa na kusambazwa!

Mchapaji aliombwa aweke 1 Yohana 4:18 katika kadi ya harusi lakini mchapaji kwa makosa aliweka Yohana 4:18.

1 Yohana 4:18 panasema, "Katika pendo hakuna hofu, lakini pendo lililo kamili huitupa nje hofu…"

Lakini Yohana 4:18 tunasoma, "Kwa maana umekuwa na waume watano, naye uliye naye sasa siye mume wako."

πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚_MKE MTARAJIWA AKAZIMIA HAPA, TUNAMPEPEA_

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Wilson Ombati (Guest) on March 8, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Stephen Amollo (Guest) on March 8, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on February 21, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on January 6, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on January 2, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on December 24, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Sarah Mbise (Guest) on December 24, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Nora Lowassa (Guest) on October 28, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Paul Ndomba (Guest) on October 19, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on October 12, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Peter Mugendi (Guest) on October 1, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Sarah Mbise (Guest) on September 16, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 8, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on September 7, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on September 1, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on August 29, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Francis Mtangi (Guest) on August 17, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Ann Awino (Guest) on August 17, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Henry Mollel (Guest) on August 13, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Grace Mligo (Guest) on July 25, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on July 15, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Wanjiku (Guest) on July 6, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on June 30, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Hellen Nduta (Guest) on June 21, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Faiza (Guest) on June 6, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Joyce Aoko (Guest) on May 25, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on May 16, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

James Kawawa (Guest) on May 9, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Omari (Guest) on April 30, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Patrick Akech (Guest) on April 3, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Anna Sumari (Guest) on March 2, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Peter Mbise (Guest) on February 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on February 5, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on January 8, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on January 1, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on January 1, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on December 27, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Anna Malela (Guest) on December 14, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on December 11, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Biashara (Guest) on December 9, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nora Lowassa (Guest) on November 28, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Grace Wairimu (Guest) on October 25, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mchawi (Guest) on September 25, 2015

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Anna Sumari (Guest) on September 10, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on August 31, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Frank Sokoine (Guest) on August 26, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Lucy Wangui (Guest) on August 17, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

John Malisa (Guest) on August 14, 2015

😊🀣πŸ”₯

Jamal (Guest) on August 1, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Charles Mrope (Guest) on July 22, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Sarah Karani (Guest) on June 14, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on May 25, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

George Wanjala (Guest) on May 13, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on May 9, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Peter Tibaijuka (Guest) on April 6, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rose Kiwanga (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Related Posts

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More