Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

Featured Image

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea Nyoka hatar san Ambaye hajawah kutokea duniania.. wanadai kwamba nyoka huyo anaongezeka ulrefu wa 0.5sm kila akila chakula na huwa anakula chakula kuanzia sekunde 30 kurudi nyuma.. mpaka sasa hakuna siraha ya kuweza kumuua nyoka huyo isipokuwa akiji uma mwenye ndo anaweza kufa, wanasayansi hao walieleza japo uchunguz zaid bado unaendelea… huyu ni nyoka anayeua kuliko nyoka wote waliowah kutokea katika historia ya maisha ya mwanadam..

nyoka huyu hupatikana katika simu pekee za nokia toch katika sehem ya game inaitwa snake xenzia..

asanteni kwa kufurah na umakin mkubwa katika usomaji wa matini hii…

haya ni mambo ya wikiend jaman na iwe njema kwenu wote

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Mwalimu (Guest) on January 13, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on January 8, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Kidata (Guest) on January 7, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on December 28, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Zuhura (Guest) on December 21, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Frank Sokoine (Guest) on December 20, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on December 13, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on November 28, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Bakari (Guest) on November 18, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Anna Mahiga (Guest) on November 16, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Isaac Kiptoo (Guest) on November 8, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Fredrick Mutiso (Guest) on October 18, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Francis Mtangi (Guest) on October 7, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

George Mallya (Guest) on October 6, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwinyi (Guest) on September 25, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Benjamin Kibicho (Guest) on September 10, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Kijakazi (Guest) on August 11, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Ruth Wanjiku (Guest) on July 29, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Nasra (Guest) on July 19, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Raphael Okoth (Guest) on July 16, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ndoto (Guest) on July 6, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Stephen Kikwete (Guest) on July 2, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Jane Muthoni (Guest) on June 6, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on May 30, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Maneno (Guest) on May 29, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Sekela (Guest) on April 27, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Sarafina (Guest) on March 30, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Jaffar (Guest) on March 8, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Jafari (Guest) on March 6, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Catherine Naliaka (Guest) on February 26, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on February 15, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on January 28, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on January 11, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on January 9, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Sharon Kibiru (Guest) on December 25, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on December 24, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Leila (Guest) on December 14, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Jackson Makori (Guest) on December 8, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on November 23, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Lucy Wangui (Guest) on November 19, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Omari (Guest) on November 11, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Victor Mwalimu (Guest) on October 26, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Chiku (Guest) on October 14, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Ahmed (Guest) on September 27, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Janet Mbithe (Guest) on September 16, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on September 6, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Kahina (Guest) on August 16, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Joseph Kawawa (Guest) on August 7, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on August 3, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ndoto (Guest) on June 24, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mgeni (Guest) on June 11, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Edward Chepkoech (Guest) on June 11, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on May 22, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Nashon (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Nassar (Guest) on May 2, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Joseph Mallya (Guest) on April 15, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More