Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Featured Image
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo.

Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali",

Wakapiga magoti…:
MKE: Eee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake.
MUME: Emen…

MKE: Mpe nguvu katika yote atakayoyafanya huko.
MUME: Emen…

MKE: Akitaka kufanya uasherati ashindwe.
MUME: Kimya…

MKE: Akifanya uasherati apatwe na janga baya kwa uwezo wako bwana.
MUME: …….!!

MKE: Yaani akifanya uasherati afie hukohuko kwa mateso makali.
MUME: Maombi gani sasa hayo!!?. Haya basi siendi semina ufurahi wewe.

Chezea mawaifu walokole wewe!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mercy Atieno (Guest) on March 30, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Tabitha Okumu (Guest) on March 9, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Grace Mushi (Guest) on February 18, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on February 13, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on February 7, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Margaret Mahiga (Guest) on January 10, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on January 8, 2017

😊🀣πŸ”₯

Mwachumu (Guest) on December 30, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Nassar (Guest) on December 23, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Amina (Guest) on December 7, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Alice Mwikali (Guest) on December 7, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Isaac Kiptoo (Guest) on October 21, 2016

🀣πŸ”₯😊

Anthony Kariuki (Guest) on October 15, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on October 10, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hawa (Guest) on October 2, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Sekela (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Grace Njuguna (Guest) on August 16, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on July 26, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on July 25, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Mwikali (Guest) on July 25, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Athumani (Guest) on July 20, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Mushi (Guest) on July 18, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Issack (Guest) on July 11, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Nora Kidata (Guest) on June 22, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Aziza (Guest) on June 17, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Raha (Guest) on May 20, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Sharifa (Guest) on May 11, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Tabitha Okumu (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

George Ndungu (Guest) on April 23, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on April 20, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Asha (Guest) on April 18, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Michael Mboya (Guest) on April 14, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on April 2, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Elizabeth Mrope (Guest) on January 31, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on January 30, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on January 12, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on January 4, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Brian Karanja (Guest) on December 22, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Patrick Kidata (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Yahya (Guest) on October 20, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Michael Mboya (Guest) on September 26, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Francis Njeru (Guest) on September 22, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Rose Amukowa (Guest) on September 13, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Hekima (Guest) on September 12, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Stephen Malecela (Guest) on August 10, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on August 1, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Frank Sokoine (Guest) on July 12, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on June 14, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 26, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Warda (Guest) on May 21, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on May 2, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Tabitha Okumu (Guest) on April 30, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mazrui (Guest) on April 25, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Agnes Sumaye (Guest) on April 21, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Nassor (Guest) on April 10, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on April 1, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Related Posts

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More