Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje?
BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu
GIRL: Enhee…
BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako
GIRL: Ooh baby u care..
BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range Rover Sport na mama mkwe ntampa Range Rover Evoque
GIRL: Baby u are awesome…
BOY: Halagu mdogo wako wa kiume ntampa Prado Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kula….
GIRL: Enhee…na sisi??

BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila wiki tutaishi nyumba tofauti
Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi Maldives
GIRL: Baby I love you
BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon Bahamas….halafu tunaenda Taiwan shopping ya fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani
GIRL: Ooh my sweetheart…halafu tukitoka huko??
BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako imeishia hapo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nora Kidata (Guest) on August 4, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Daniel Obura (Guest) on July 1, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Violet Mumo (Guest) on June 19, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Josephine Nduta (Guest) on June 14, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Fikiri (Guest) on June 12, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Benjamin Masanja (Guest) on March 27, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Ochieng (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on January 16, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

James Kawawa (Guest) on December 7, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on November 9, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on October 26, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Aziza (Guest) on October 1, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Lissu (Guest) on September 26, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

David Musyoka (Guest) on September 25, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Salma (Guest) on September 8, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Linda Karimi (Guest) on August 1, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Monica Nyalandu (Guest) on July 17, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Salma (Guest) on July 2, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Irene Akoth (Guest) on June 29, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Zakaria (Guest) on June 28, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Thomas Mtaki (Guest) on May 16, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Faiza (Guest) on May 14, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Samson Mahiga (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on April 15, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Lydia Mahiga (Guest) on March 19, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on March 14, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Abubakari (Guest) on March 9, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Grace Wairimu (Guest) on February 24, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on February 21, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on February 14, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Christopher Oloo (Guest) on February 14, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Frank Macha (Guest) on February 13, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Jacob Kiplangat (Guest) on February 7, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on February 3, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Grace Njuguna (Guest) on January 21, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on January 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on January 18, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on December 22, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on December 11, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Monica Nyalandu (Guest) on November 30, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Majaliwa (Guest) on November 6, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on November 3, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mjaka (Guest) on October 29, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Wilson Ombati (Guest) on October 27, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on October 24, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nancy Komba (Guest) on October 24, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Hamida (Guest) on October 8, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Faith Kariuki (Guest) on August 19, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Victor Mwalimu (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Maulid (Guest) on August 16, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rubea (Guest) on July 19, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Charles Mchome (Guest) on June 22, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on June 3, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on May 15, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Irene Makena (Guest) on May 8, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on May 7, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on April 20, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

David Sokoine (Guest) on April 17, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Related Posts

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More