Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Featured Image

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. mara saa nne hivi mdada kasema hana nauli.
Mshkaji kajikunja kamtumia Elfu tano maana mwenye shida alikuwa ni yeye……
Baada ya nusu saa yule dada akamtumia meseji.
"Jamani mpenzi, kumbe baba hatoki nilijua atatoka… sorry bae sitaweza kuja kwa leo… sooo sorry!"
Mshkaji jiii! hajajibu kitu…..

Baada ya muda kidogo meseji ikaingia katika simu ya binti, akajua mchizi kajibu. Mh! kutazama ni meseji kutoka Mpesa.

"CA90F0511 IMETHIBITISHWA Tshs 5000 ILIYOTUMWA KIMAKOSA KATIKA ACCOUNT YAKO IMETOLEWA SALIO LAKO NI Tshs 5"

Halafu ndo ikaingia meseji ya mshkaji.
"BASI POA SIKU NYINGINE KAMA VIPI"

#dada wa watu mashavu yakamshuka… hakuamini kilichotokea…. yaani jamaa keshawapigia Voda na pesa fasta imezuiliwa……

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Kiwanga (Guest) on June 18, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Tenga (Guest) on May 31, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Frank Sokoine (Guest) on May 31, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on May 14, 2020

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on May 10, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Ruth Mtangi (Guest) on April 15, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on February 23, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on February 5, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on February 3, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Malisa (Guest) on February 2, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 27, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Anna Mahiga (Guest) on December 19, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Peter Otieno (Guest) on November 24, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Robert Okello (Guest) on November 18, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on November 12, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Tabitha Okumu (Guest) on November 9, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on November 7, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Sarah Karani (Guest) on November 4, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on October 29, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on October 7, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on September 2, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on September 1, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

John Lissu (Guest) on August 28, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Agnes Njeri (Guest) on August 7, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Vincent Mwangangi (Guest) on July 30, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Francis Mrope (Guest) on May 17, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Elizabeth Mrema (Guest) on May 12, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Elizabeth Mrope (Guest) on February 21, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Zubeida (Guest) on February 19, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Ann Wambui (Guest) on February 17, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on January 9, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Mashaka (Guest) on January 4, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 28, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on December 11, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on November 21, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Yusuf (Guest) on November 18, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 13, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Shukuru (Guest) on September 3, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

David Chacha (Guest) on August 25, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Rose Kiwanga (Guest) on August 25, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Emily Chepngeno (Guest) on August 25, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on August 10, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Emily Chepngeno (Guest) on August 3, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on July 10, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Ruth Mtangi (Guest) on July 9, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Lydia Wanyama (Guest) on July 4, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Abubakari (Guest) on June 29, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Mazrui (Guest) on June 15, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Bakari (Guest) on May 24, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Kenneth Murithi (Guest) on May 15, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Esther Nyambura (Guest) on April 13, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Masika (Guest) on April 12, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Salima (Guest) on April 10, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Susan Wangari (Guest) on March 16, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bahati (Guest) on March 9, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Kenneth Murithi (Guest) on February 26, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kidata (Guest) on February 20, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on February 13, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on January 19, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on January 17, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Related Posts

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More