Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Featured Image

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.

Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Linda Karimi (Guest) on May 29, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Margaret Mahiga (Guest) on May 29, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on May 25, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Anna Malela (Guest) on May 22, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Shamsa (Guest) on April 30, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Nora Kidata (Guest) on April 15, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on April 4, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on March 20, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on March 14, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on February 17, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on February 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Moses Mwita (Guest) on February 13, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Diana Mallya (Guest) on January 14, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on January 13, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on December 8, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Safiya (Guest) on November 23, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Lydia Wanyama (Guest) on November 11, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Mbithe (Guest) on October 20, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on October 15, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwafirika (Guest) on October 9, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

James Kawawa (Guest) on October 5, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on October 1, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Elizabeth Malima (Guest) on September 17, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on August 26, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on August 13, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Yusuf (Guest) on July 10, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mariam Hassan (Guest) on July 8, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Vincent Mwangangi (Guest) on June 4, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on May 29, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on May 27, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Omar (Guest) on May 20, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on May 17, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Rehema (Guest) on March 18, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Ann Wambui (Guest) on February 19, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Josephine (Guest) on February 3, 2019

Asante Ackyshine

Margaret Anyango (Guest) on February 1, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on January 18, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on January 9, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mwafirika (Guest) on December 10, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Minja (Guest) on November 9, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on October 25, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Daniel Obura (Guest) on October 18, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Kahina (Guest) on October 14, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nora Lowassa (Guest) on October 11, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on October 9, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on October 2, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Diana Mumbua (Guest) on September 11, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Stephen Kikwete (Guest) on August 28, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 9, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Charles Mchome (Guest) on June 11, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Issack (Guest) on May 31, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

David Chacha (Guest) on May 14, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Kazija (Guest) on April 15, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Charles Mrope (Guest) on April 8, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Charles Mrope (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Zakia (Guest) on April 3, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Robert Okello (Guest) on February 25, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on January 18, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Anna Malela (Guest) on December 1, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on November 25, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More