Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Featured Image

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana Wave
kichwani.
-Kama bosi atakuwa na kampuni basi ni lazima
itakuwa ya Clearing and Forwading au ya uuzaji
Magari.
-Lazima waende Kununua nguo.
-Jambazi lazima avae koti lefu jeusi na Miwani.
-Mtu akichapwa kofi huangukia kwenye kochi
ama kitandani.
-Actress huwa hawapiki hata chai.
-Kwa mdada akiishi maisha ya kitajiri lazima
avae nguo inayoishia mapajani.
-Actress even after 5 yeas utakuta staili ya
nywele na rangi za kucha ni zile zile.
-Anaweka Sumu alafu anaonja kama imekolea.
-Movie zote wapenzi huitana Baby..
-Main actor wote ni wafanya biashara na lazima
wataongelea mizigo kutoka bandarini.
-Wakinywa Soda basi lazima wabakishe.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Baridi (Guest) on June 9, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Patrick Mutua (Guest) on May 16, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on May 6, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on April 23, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 16, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Benjamin Masanja (Guest) on April 8, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Thomas Mtaki (Guest) on April 6, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on March 24, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Nancy Kabura (Guest) on March 17, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Elizabeth Malima (Guest) on February 6, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on January 21, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Shamsa (Guest) on January 16, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Joseph Mallya (Guest) on January 12, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Joseph Njoroge (Guest) on January 6, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

James Kimani (Guest) on December 28, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Shani (Guest) on December 25, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Zubeida (Guest) on December 25, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Alice Jebet (Guest) on December 21, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Margaret Anyango (Guest) on December 17, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Charles Mchome (Guest) on December 6, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Mary Sokoine (Guest) on October 8, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on October 5, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Kazija (Guest) on October 3, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Janet Sumaye (Guest) on September 14, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Hashim (Guest) on August 25, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Andrew Mahiga (Guest) on August 24, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on July 29, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Anna Kibwana (Guest) on July 28, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Elizabeth Mrope (Guest) on June 21, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on June 15, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Nchi (Guest) on June 11, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Alice Mrema (Guest) on May 25, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Khadija (Guest) on May 21, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

James Mduma (Guest) on May 8, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Ibrahim (Guest) on May 6, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

John Mwangi (Guest) on March 26, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Malima (Guest) on March 22, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Kiwanga (Guest) on March 20, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Patrick Kidata (Guest) on March 6, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Grace Mushi (Guest) on February 28, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jackson Makori (Guest) on January 14, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on December 5, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Safiya (Guest) on October 18, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Patrick Akech (Guest) on October 7, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Mushi (Guest) on October 2, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Edith Cherotich (Guest) on September 4, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Alice Wanjiru (Guest) on July 6, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on June 12, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on June 11, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on June 8, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Kevin Maina (Guest) on June 6, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on May 10, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Majaliwa (Guest) on May 9, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Patrick Mutua (Guest) on May 3, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on April 9, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Frank Macha (Guest) on April 2, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Kenneth Murithi (Guest) on March 1, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on February 20, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Mashaka (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Mashaka (Guest) on January 25, 2018

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Related Posts

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More