Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Featured Image

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwauliza ni wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono kama ishara ya kuwa wanawapenda waume zao.
Mwalimu akauliza tena, β€œNi lini mara ya mwisho umemwambia mumeo β€œNakupenda Mpenzi”?

Majibu yalikuwa kama ifuatavyo:
Wengine wakisema Asubuhi ya leo,
Wengine jana,
Wengine wiki iliyopita
Wengine mwezi uliopita
Na wengine wakasema hawakumbuki!
Mwalimu aliwapa kazi kila mwanasemina achukue simu yake na kumtumia mume wake meseji yenye neno β€œNAKUPENDA MPENZI”
Baada ya meseji kwenda aliwaamuru kubadilishana simu kila mtu na jirani yake.
Kila mwanasemina aliambiwa kusoma meseji za majibu kwenye simu aliyoshika

Simu ya 1 – β€œSamahani, nani mwenzangu”!
Simu ya 2 – β€œSamahani, wrong number”!
Simu ya 3 – β€œSi nimekuambia usinitumie messages kwenye namba hii”!
Simu ya 4 – β€œMh! leo mvua itanyesha”!
Simu ya 5 – β€œNikija tutaongea zaidi”!
Simu ya 6 – β€œβ€¦β€¦Imedhibitishwa umepokea Tsh300,000 kutoka kwa ……”!
Simu ya 7 – β€œMe too”!
Simu ya 6 – β€œHuu ujumbe ndio ulikuwa unamtumia huyo hawara yako ee, leo utanikoma”!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ibrahim (Guest) on December 28, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Chum (Guest) on December 19, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Edith Cherotich (Guest) on November 18, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Stephen Amollo (Guest) on November 12, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Lydia Wanyama (Guest) on November 7, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Moses Mwita (Guest) on October 15, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Mashaka (Guest) on October 9, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nancy Komba (Guest) on October 8, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on October 6, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on October 1, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on September 29, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on September 29, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Nchi (Guest) on September 28, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mariam (Guest) on September 23, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Betty Akinyi (Guest) on August 28, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on August 25, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on August 9, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on August 6, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Mushi (Guest) on August 3, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on August 1, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Amir (Guest) on July 21, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Lydia Wanyama (Guest) on June 29, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Akinyi (Guest) on June 5, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Elizabeth Malima (Guest) on May 14, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Aziza (Guest) on May 6, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

James Kimani (Guest) on April 18, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Josephine Nduta (Guest) on April 16, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on March 27, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on March 13, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Jackson Makori (Guest) on March 13, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Habiba (Guest) on March 2, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Edward Chepkoech (Guest) on February 28, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Peter Tibaijuka (Guest) on February 24, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Halimah (Guest) on February 16, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Shabani (Guest) on February 16, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 21, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on November 6, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Issack (Guest) on October 19, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Abubakar (Guest) on September 22, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Mercy Atieno (Guest) on September 17, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on September 15, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Robert Okello (Guest) on September 8, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Samson Mahiga (Guest) on September 5, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Francis Mtangi (Guest) on August 27, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Simon Kiprono (Guest) on July 17, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Henry Sokoine (Guest) on July 11, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on May 25, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Salum (Guest) on April 28, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Violet Mumo (Guest) on April 22, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Jamal (Guest) on April 3, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Benjamin Kibicho (Guest) on February 16, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on February 4, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Hassan (Guest) on January 22, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on January 21, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on December 11, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on December 11, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Samuel Omondi (Guest) on December 5, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on December 4, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

David Musyoka (Guest) on November 20, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on October 9, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More